Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
- Thread starter
- #21
Siku utapoibiwa kitu kinakuwezesha kuishi mjini ndo utajua panaumaje Mkuu. Tunasaka mwizi, wewe unaleta mambo ya Law School? Picha ya mwizi wetu ndo hiyo hapo. Ukimwona tuoneshe sisi tutajua tunafanyaje naye.... Accademics badaye...
Innocent until proven guilty labda ungesema mtuhumiwa wa wizi.., (unless kama ameshahukumiwa na kukubali kosa)