Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Namwona mama akizeeka ghafla maana anatumia nguvu nyingi snaKitendo cha kusema yeye na magufuli ni kitu kimoja kasoro tuu yeye ni mwanamke alimaanisha kila kitu kitabia na kiutendaji hivyo sishangai hilo
Ulitaka Chadema wamsujudie? Unajua maana ya chama cha upinzani? Au mfano unao ujua ni TLP?Chadema inaponzwa na wapuuzi kama Tundu Lissu.
Wewe kweli ni DUDUMIZI endelea KUDIDIMIZA hao wapuuzi wenzako....!!!Moyo wa mtu msitu.. Pole sana kwa kuendelea kutetea usichokijua.
..vipi mrembo?Mama anatupigia uwingi angani ,lol
Mama wa kambo alisifiwa kwa kutenda haki na kuamua kufuata katiba. Kama ameamua kuiga tabia za yule dhalimu ni lazima apewe ukweli wake. Hakuna mtu atamsifia kwa kwenda kinyume na katiba. Mikutano ya siasa ya ndani na nje iko kisheria, anapozuia na huku chama chake kikiendelea hilo hakuvumiliki. Haya wanayokutana nayo ni matokeo ya yeye kuacha sheria na kutaka kuwaridhisha sukuma Gang.View attachment 1867792
Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.
Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.
Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.
Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].
Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!
Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania 🤣.
No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
JPM long realized this and he frequently insisted he did not mind to please anyone, aside from doing what he deemed right for the nation
Atafika hadi 2030.
Nyie ndio mnampotosha mama Samia. Ushauri Bora kwa Mh. Rais akutane na wapinzani awasikilize Tena Kila Chama kwa wakati wake wakubaliane mambo ya msingi na namna ya kwenda mbela najua ajenda kuu inaweza kuwa KATIBA aachane na wapambe ambao kwao ni vyeo kwanza na hawaoni mbele zaidi ya maslahi ya matumbo yao.Chadema inaponzwa na wapuuzi kama Tundu Lissu.
Nyie ndio mnampotosha mama Samia. Ushauri Bora kwa Mh. Rais akutane na wapinzani awasikilize Tena Kila Chama kwa wakati wake wakubaliane mambo ya msingi na namna ya kwenda mbela najua ajenda kuu inaweza kuwa KATIBA aachane na wapambe ambao kwao ni vyeo kwanza na hawaoni mbele zaidi ya maslahi ya matumbo yao.Chadema inaponzwa na wapuuzi kama Tundu Lissu.
Wewe unastahili ukalie chupa ya Soda ikiwa na mfuniko wakeRais mwenye jinsia ya kike ageuka kuwa dikiteta mwenye jinsia ya kike.
..vipi mrembo?
Tathmini safiView attachment 1867792
Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.
Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.
Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.
Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].
Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!
Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania 🤣.
No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
Hao ni vijana wa bavicha wamevurugwa mjomba toka boss wao akamatwe
Nyani Ngabu unakosea sana, huyu ni shujaa wa upinzani. Hatuna mwingine mbali na yeye.Chadema inaponzwa na wapuuzi kama Tundu Lissu.
Ngabu uko sahihi!
Huyu mama ameanza kuona Kiti cha Urais ni cha Moto!
Na asipobadilisha msimamo wake kuhusu CHADEMA na Mhe. Freeman Mbowe itagharimu Urahisi wake!!
View attachment 1867792
Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.
Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.
Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.
Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].
Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!
Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania 🤣.
No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
He tried his best, his shortfall as human being must be acceptedWas he doing right?