Kibao kilivyogeuka

Kibao kilivyogeuka

Alianza vizuri sana, ila baadae akapiga u-turn na kuanza kukumbatia dhulma!.
Huwezi kuzuia shughuli halali za kisiasa za vyama vya siasa halafu ukadhani unaheshimu kiapo chako cha uraisi cha kulinda katiba.

Sasa ameanza kubambikizia watu kesi kitu ambacho miezi miwili iliyopita aliagiza kisifanyike.
 
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania 🤣.

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
Mama wa kambo alisifiwa kwa kutenda haki na kuamua kufuata katiba. Kama ameamua kuiga tabia za yule dhalimu ni lazima apewe ukweli wake. Hakuna mtu atamsifia kwa kwenda kinyume na katiba. Mikutano ya siasa ya ndani na nje iko kisheria, anapozuia na huku chama chake kikiendelea hilo hakuvumiliki. Haya wanayokutana nayo ni matokeo ya yeye kuacha sheria na kutaka kuwaridhisha sukuma Gang.
 
Atafika hadi 2030.

Asipofuata sheria atajikuta kwenye wakati mgumu. Kizazi kimebadalika, mazingira ya kukipendelea chama chake na kudhani atabaki na furaha yamepita.
 
Chadema inaponzwa na wapuuzi kama Tundu Lissu.
Nyie ndio mnampotosha mama Samia. Ushauri Bora kwa Mh. Rais akutane na wapinzani awasikilize Tena Kila Chama kwa wakati wake wakubaliane mambo ya msingi na namna ya kwenda mbela najua ajenda kuu inaweza kuwa KATIBA aachane na wapambe ambao kwao ni vyeo kwanza na hawaoni mbele zaidi ya maslahi ya matumbo yao.
 
Chadema inaponzwa na wapuuzi kama Tundu Lissu.
Nyie ndio mnampotosha mama Samia. Ushauri Bora kwa Mh. Rais akutane na wapinzani awasikilize Tena Kila Chama kwa wakati wake wakubaliane mambo ya msingi na namna ya kwenda mbela najua ajenda kuu inaweza kuwa KATIBA aachane na wapambe ambao kwao ni vyeo kwanza na hawaoni mbele zaidi ya maslahi ya matumbo yao.
NI LAZIMA CCM wakubali kuwa hii Nchi sio ya baba yao Ni ya watanzania wote na wa vyama vyote na wote Wana sehemu katika kuamua mustakabali wa NCHI YETU.
 
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania 🤣.

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
Tathmini safi
 
Chadema inaponzwa na wapuuzi kama Tundu Lissu.
Nyani Ngabu unakosea sana, huyu ni shujaa wa upinzani. Hatuna mwingine mbali na yeye.

Ukiwa na baba kipofu, mjinga, mpumbavu, gaidi utamwita nani ? Kaka? Kiuhalisia kazi ipo.
 
Ngabu uko sahihi!
Huyu mama ameanza kuona Kiti cha Urais ni cha Moto!
Na asipobadilisha msimamo wake kuhusu CHADEMA na Mhe. Freeman Mbowe itagharimu Urahisi wake!!

Kama huyo Mama ataendelea kusikiliza hao wazee wanaojiita system lazima atakuwa kwenye wakati mgumu. Enzi za ccm kutamba kama chama chenye nguvu zimepita. Hizo mbinu za kuonea wapinzani, na kuwabambikia kesi zilifanikiwa enzi za Mahita karne iliyopita, karne hii ina matakwa na mitazamo tofauti kabisa. Huyo utoto waliofanya wa kumbambikia Mbowe shutuma za ugaidi haziwezi kuzuia upatikanaji wa katiba mpya.
 
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania 🤣.

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.

Hawa ni wapuuzi tu,mama anaamini katika utawala wa sheria hawezi ingili utendaji wa vyombo vingine .
 
Back
Top Bottom