Kibao kilivyogeuka

Kibao kilivyogeuka

Being a President is tantamount to being a dustbin

It is not easy to maintain a clean file.

Samia should only do what she thinks is right and not what others thinks is right neither trying to impress anyone.
JPM long realized this and he frequently insisted he did not mind to please anyone, aside from doing what he deemed right for the nation
 
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania 🤣.

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
Ngabu uko sahihi!
Huyu mama ameanza kuona Kiti cha Urais ni cha Moto!
Na asipobadilisha msimamo wake kuhusu CHADEMA na Mhe. Freeman Mbowe itagharimu Urahisi wake!!
 
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania 🤣.

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
A great dictatress of our time unfortunately from Tanzania!
 
Vyovyote atakavyoitwa yeye hana cha kupoteza, kikubwa asimamie sheria, katiba na kuwadhibiti wote waliopanga au wanaopanga kuharibu amani ya nchi kwa kisingizio cha siasa uchovu. Kifo cha Chacha wangwe na machozi ya familia yake visingeweza kupita hivi hivi miaka na miaka. Bila shaka Mungu kaamua kutoa hukumu hapa hapa duniani.
Wewe ni chizi mkubwa tu na unachoongea hapa ni uharo!
Kifo cha Chacha Wangwe kinahusikaje hapa?mungu/miungu wako ndo wanaweza kutoa hukumu ya kipumbavu kama hii!!!
But not The God Almighty Who punished JPM The Dictator of our time!!!
 
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania 🤣.

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
Wewe uko SK Gang, na mmeshamuingiza mama mkenge.
 
Wewe ni chizi mkubwa tu na unachoongea hapa ni uharo!
Kifo cha Chacha Wangwe kinahusikaje hapa?mungu/miungu wako ndo wanaweza kutoa hukumu ya kipumbavu kama hii!!!
But not The God Almighty Who punished JPM The Dictator of our time!!!
Moyo wa mtu msitu.. Pole sana kwa kuendelea kutetea usichokijua.
 
Inawezekana nchi ya Tanzania ni ngumu sana kuiongoza. Na hii inatokana na sera ya ujamaa ambayo ilitumika mpaka miaka ya 90.

Sasa hizi element za ujamaa ndio zinaleta shida ndani ya nchi.

Mabadiliko hayazuiliki, bali yanacheleweshwa. Kizazi cha ujamaa kikiisha ndo kutakuwa na mabadiliko ya kweli Tanzania.
 
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania [emoji1787].

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
Kitendo cha kusema yeye na magufuli ni kitu kimoja kasoro tuu yeye ni mwanamke alimaanisha kila kitu kitabia na kiutendaji hivyo sishangai hilo
 
Chadema siku zote huwa wanaombea nchi isitawalike ndiyo maana huwa wanafurahia sana yanapotokea majanga nchini.
 
Back
Top Bottom