Kingai ilimbana hadi ikaanza kumtoka ikabidi amuombe Jaji amruhusu kwenda maliwatoSheria tamu sana hasa ukiijua nje ndani.
Mtu unaweza kupigwa maswali hadi haja ndogo inakubana kila baasa ya dakika 15.😂
Logically inakuwa ni ushahidi wa uongoSSP Ngichi: Ndio
KIBATALA: Unawajua walinzi wa Mbowe?
SSP Ngichi: Siwafahamu.
Acha dharau kwa watumishi wa Umma walio aminiwa na jamhuriKamkuta huyo askari wenyewe poyoyo tu.
noma sanaBaada ya kutoka hapo inasemekana Ngichi aliomba Lidandasi
Kazi zingine bwana......anaona jibu ni ndiyo lakini ana Mute.KIBATALA: Kwahiyo Mbowe yupo sahihi?
SSP Ngichi: Kimya
Shida sio maswali bali nature ya kesimaswali mepesi mnoo...........form 4 za mchongo kwenye jehe shihi la poho lihisi
HapanaUnafahamu uzito wa karatasi?🤣
Hivi mahakamani jamaa akikuuliza maswali ya kijinga na wewe ukamjibu akamwulize mamake inakuwaje?Peter Kibatala akikukuta kwenye hii angle ya kukuuliza maswali kimbia! Maana usipofanya hivyo, utaishia tu kuumbuka! Na hasa kama una elimu ya kuunga unga.
Sasa nyie mnaojidai kujua hebu leteni majibu ya hayo maswali tuone mngeyajibuje?Hivi hawa jamaa zetu ndo nao wanakuwa kama karatasi.
Naona huna hoja unaanza viroja.Acha dharau kwa watumishi wa Umma walio aminiwa na jamhuri
Wengi sna tu. Koindoo waliisha lini?kwahiyo ni sahihi kwamba serikali ya ccm inawaajiri mapoyoyo kuwalinda raia na mali zao
Wewe hata maana ya "teleportation" huielewi.Maswali utaulizwa kulingana na wasifu wako.Watu wanakuwa wameshacheza na akili zako kwa njia ya teleportation.
Utakuwa umejimaliza mwenyewe kwani nia ya kuuliza maswali ya dizaini hiyo ni kutaka kukutoa kwenye mstari ili uonekane ni mtu wa ovyo na ushahidi wako usitiliwe maanani, tena anaweza akamalizia hapo hapo kwa kwa ile kauli yao maarufu ya no further question your honour.Hivi mahakamani jamaa akikuuliza maswali ya kijinga na wewe ukamjibu akamwulize mamake inakuwaje?
Sasa wewe mbwia ugoro na teleportation ujidai unaijulia wapi!?Wewe hata maana ya "teleportation" huielewi.
Kafanye homework yako.
Soma Uislam kijana, soma kuhusu "Israa".Sasa wewe mbwia ugoro na teleportation ujidai unaijulia wapi!?