Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mpaka Sasa List Yangu Bora ya Mawakili Tanzania pamoja na certificate yangu ya Sheria niMkuu,
Ukimtoa wakili msomi tundu lisu anae mfuatia Ni kibatala..
Na kwa taarifa yako hao walio kutuma watalala na viatu..
NB.
Kama unaona kibatala anafaidi haukatazwi na wewe uende ukawe wakili msomi
Angalia ID yake tu. Huyu ukute naye ni MwanasheriaHakuna dharau wala kebehi hapo wewe ni mjinga tu hujui haki za raia na wajibu wa mwanasheria.
Kama tuna tatizo Tanzania basi tatizo hilo ni kwamba wanasheria wetu si wakali vya kutosha, hawana kebehi za kutosha, hawana dharau za kutosha.
Kwenye kazi zangu nilipoamua kufata Role Model Tundu Lissu, Mbowe na Kibatala nimefanikiwa sanaKibatala ndo Role model wa Madeleka Maana Madeleka nae anaongea shit sana japo yeye hana mafanikio hayo kama ya Kibatala, huyu kibatala ni mwamba hasa.
Huyu ni mlevi fulani tu wa gongo. Yaani anataka kituaninisha kuwa serikali ni Mungu, Kibatala anapaswa kuisujidia. Mleta mada atakuwa kashikwa pabaya, amepaniki.Hili ni onyo kubwa toka kwa wazee. Kama ana akili basi atazingatia lasivyo.
Kuna wanasheria wa Tanzania wanaitia aibu sana hii profession.Angalia ID yake tu. Huyu ukute naye ni Mwanasheria
Nitajie mawakili wawili tu wa Jamhuri ambao ni saizi ya Kibatala, nami nitakutajia wakili mwandamizi wa Jamhuri ambaye alidisco Mlimani.Huwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi
Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.
Hao uliotaja ni watu wa hovyo kuliko uhovyo wenyewe.Utakua mmoja wa polisi au wakili wa serikali
NonsenseHuwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi
Wewe kujua sheria haina maana kuwa Jacob na Malisa hawawezi kuwa behind the bars, nakusihi sana Bro, navutiwa sana sana sana na uwezo na kipaji ulichonacho kisheria lakini sio sawa kuwa mjivuni, kudharau mamlaka kwa sababu tu una itikadi za Chadema.
Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.
Hivi dharau au kebehi ni nini?Huwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi
Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.
Mungu ana miujiza, Pale MZUMBE class yetu ya LLB Kibatala Ndio alikuwa kilaza. Muulize Dr. Joel, Binamungu na MavundeHuwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi kuliko wewe, mfano marehemu Dkt.Masumbuko Lamwai, Herbet Nyange, Mosses Maira, Mabere Nyaucho Marando, Professa Abdallah Safari nk.
Nilikuwa nashinda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwasikiliza mabingwa hao tu wakiwakilisha watu mahakamani, miongoni mwa mawakili waliobaki ni huyu msomi Majura Magafu.Huyu ni bingwa kuliko wewe Kibatala.
Kwanza kwenye roll of advocates nadhani Magafu ni senior kwako, lakini hata hivyo nimekuwa nikikuona sana Kibatala ukiongea kwa kebehi sana dhidi ya serikali.Kwa mfano leo katika kesi ya Boniface na Malisa unasoma hati ya mashtaka mbele ya waandishi wa habari kwa majivuno ukisema unawasubiri hao waliokuwa wakifanya press yaani Jeshi la Polisi na utaomba waitwe mahakamani ili uweze kuwahoji.
Ukaongea kwa kebehi eti nanukuu, " Tutaomba pia hao ambao mwanafamilia amesema ni jeshi waje pia kutoa ushahidi." mwisho wa kunukuu.
Maneno hayo ni ya dharau, kebehi na majivuno, huko serikalini kuna wanasheria wasomi kuliko wewe, kwanza unavyojifanya mjuaji naona kama unawatafutia balaa hao washtakiwa wawili, kesi ni ushahidi na ushahidi kuwa washtakiwa wametenda kosa ushahidi dhidi yao utathibitishwa mahakamani na hao unaowapa matumaini utawasababishia matatizo.
Wewe kujua sheria haina maana kuwa Jacob na Malisa hawawezi kuwa behind the bars, nakusihi sana Bro, navutiwa sana sana sana na uwezo na kipaji ulichonacho kisheria lakini sio sawa kuwa mjivuni, kudharau mamlaka kwa sababu tu una itikadi za Chadema.
Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.
Si mwanasheria but niko profession nyingine. Question is imekuaje yupo hapo? If accademicaly alikuwa wamwisho, how comes huku nje amekuw kimbilio kwa kesi against serikali? Or serikali hai ajiro mawakili wanao jielewa?Mungu ana miujiza, Pale MZUMBE class yetu ya LLB Kibatala Ndio alikuwa kilaza. Muulize Dr. Joel, Binamungu na Mavunde
Mahakamani ni ujanja ujanja tu mangiSi mwanasheria but niko profession nyingine. Question is imekuaje yupo hapo? If accademicaly alikuwa wamwisho, how comes huku nje amekuw kimbilio kwa kesi against serikali? Or serikali hai ajiro mawakili wanao jielewa?
Nilitaka kushangaa sana, toka lini mtu anayejiita Magufuli akampenda Kibatala? Yaani hapa umeandika utumbo tupu.Huwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi kuliko wewe, mfano marehemu Dkt.Masumbuko Lamwai, Herbet Nyange, Mosses Maira, Mabere Nyaucho Marando, Professa Abdallah Safari nk.
Nilikuwa nashinda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwasikiliza mabingwa hao tu wakiwakilisha watu mahakamani, miongoni mwa mawakili waliobaki ni huyu msomi Majura Magafu.Huyu ni bingwa kuliko wewe Kibatala.
Kwanza kwenye roll of advocates nadhani Magafu ni senior kwako, lakini hata hivyo nimekuwa nikikuona sana Kibatala ukiongea kwa kebehi sana dhidi ya serikali.Kwa mfano leo katika kesi ya Boniface na Malisa unasoma hati ya mashtaka mbele ya waandishi wa habari kwa majivuno ukisema unawasubiri hao waliokuwa wakifanya press yaani Jeshi la Polisi na utaomba waitwe mahakamani ili uweze kuwahoji.
Ukaongea kwa kebehi eti nanukuu, " Tutaomba pia hao ambao mwanafamilia amesema ni jeshi waje pia kutoa ushahidi." mwisho wa kunukuu.
Maneno hayo ni ya dharau, kebehi na majivuno, huko serikalini kuna wanasheria wasomi kuliko wewe, kwanza unavyojifanya mjuaji naona kama unawatafutia balaa hao washtakiwa wawili, kesi ni ushahidi na ushahidi kuwa washtakiwa wametenda kosa ushahidi dhidi yao utathibitishwa mahakamani na hao unaowapa matumaini utawasababishia matatizo.
Wewe kujua sheria haina maana kuwa Jacob na Malisa hawawezi kuwa behind the bars, nakusihi sana Bro, navutiwa sana sana sana na uwezo na kipaji ulichonacho kisheria lakini sio sawa kuwa mjivuni, kudharau mamlaka kwa sababu tu una itikadi za Chadema.
Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.