Kibatala wewe ni wakili mzuri na msomi lakini punguza majivuno na dharau dhidi ya mamlaka

Kibatala wewe ni wakili mzuri na msomi lakini punguza majivuno na dharau dhidi ya mamlaka

Huwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi kuliko wewe, mfano marehemu Dkt.Masumbuko Lamwai, Herbet Nyange, Mosses Maira, Mabere Nyaucho Marando, Professa Abdallah Safari nk.

Nilikuwa nashinda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwasikiliza mabingwa hao tu wakiwakilisha watu mahakamani, miongoni mwa mawakili waliobaki ni huyu msomi Majura Magafu.Huyu ni bingwa kuliko wewe Kibatala.

Kwanza kwenye roll of advocates nadhani Magafu ni senior kwako, lakini hata hivyo nimekuwa nikikuona sana Kibatala ukiongea kwa kebehi sana dhidi ya serikali.Kwa mfano leo katika kesi ya Boniface na Malisa unasoma hati ya mashtaka mbele ya waandishi wa habari kwa majivuno ukisema unawasubiri hao waliokuwa wakifanya press yaani Jeshi la Polisi na utaomba waitwe mahakamani ili uweze kuwahoji.

Ukaongea kwa kebehi eti nanukuu, " Tutaomba pia hao ambao mwanafamilia amesema ni jeshi waje pia kutoa ushahidi." mwisho wa kunukuu.

Maneno hayo ni ya dharau, kebehi na majivuno, huko serikalini kuna wanasheria wasomi kuliko wewe, kwanza unavyojifanya mjuaji naona kama unawatafutia balaa hao washtakiwa wawili, kesi ni ushahidi na ushahidi kuwa washtakiwa wametenda kosa ushahidi dhidi yao utathibitishwa mahakamani na hao unaowapa matumaini utawasababishia matatizo.

Wewe kujua sheria haina maana kuwa Jacob na Malisa hawawezi kuwa behind the bars, nakusihi sana Bro, navutiwa sana sana sana na uwezo na kipaji ulichonacho kisheria lakini sio sawa kuwa mjivuni, kudharau mamlaka kwa sababu tu una itikadi za Chadema.

Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.
UWT akili zenu hazina akili, hapo kosa ni nini sasa?
 
Mimi ni mwanaCCM ila sioni tatizo hapo kuhusu Kibatala. Tunahitaji mawakili kama Kibatala wa kutosha... hao unaowataja kama seniors ni waoga kinyama. Sugu kwenye kitabu chake alisema Prof Mgongofimbo alijitoa ghafla kwenye kesi aliyotaka kufungua kuhusu dili lake alilonyang'anywa na Ruge. Hata Shigongo naye alishalalamika kuhusu hilo. Hao seniors wengi hawana amshaamsha kama Kibatala.
 
Mimi ni mwanaCCM ila sioni tatizo hapo kuhusu Kibatala. Tunahitaji mawakili kama Kibatala wa kutosha... hao unaowataja kama seniors ni waoga kinyama. Sugu kwenye kitabu chake alisema Prof Mgongofimbo alijitoa ghafla kwenye kesi aliyotaka kufungua kuhusu dili lake alilonyang'anywa na Ruge. Hata Shigongo naye alishalalamika kuhusu hilo. Hao seniors wengi hawana amshaamsha kama Kibatala.
Kitabala na Lissu wanaitendea haki tasinia ya sheria
 
Huwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi kuliko wewe, mfano marehemu Dkt.Masumbuko Lamwai, Herbet Nyange, Mosses Maira, Mabere Nyaucho Marando, Professa Abdallah Safari nk.

Nilikuwa nashinda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwasikiliza mabingwa hao tu wakiwakilisha watu mahakamani, miongoni mwa mawakili waliobaki ni huyu msomi Majura Magafu.Huyu ni bingwa kuliko wewe Kibatala.

Kwanza kwenye roll of advocates nadhani Magafu ni senior kwako, lakini hata hivyo nimekuwa nikikuona sana Kibatala ukiongea kwa kebehi sana dhidi ya serikali.Kwa mfano leo katika kesi ya Boniface na Malisa unasoma hati ya mashtaka mbele ya waandishi wa habari kwa majivuno ukisema unawasubiri hao waliokuwa wakifanya press yaani Jeshi la Polisi na utaomba waitwe mahakamani ili uweze kuwahoji.

Ukaongea kwa kebehi eti nanukuu, " Tutaomba pia hao ambao mwanafamilia amesema ni jeshi waje pia kutoa ushahidi." mwisho wa kunukuu.

Maneno hayo ni ya dharau, kebehi na majivuno, huko serikalini kuna wanasheria wasomi kuliko wewe, kwanza unavyojifanya mjuaji naona kama unawatafutia balaa hao washtakiwa wawili, kesi ni ushahidi na ushahidi kuwa washtakiwa wametenda kosa ushahidi dhidi yao utathibitishwa mahakamani na hao unaowapa matumaini utawasababishia matatizo.

Wewe kujua sheria haina maana kuwa Jacob na Malisa hawawezi kuwa behind the bars, nakusihi sana Bro, navutiwa sana sana sana na uwezo na kipaji ulichonacho kisheria lakini sio sawa kuwa mjivuni, kudharau mamlaka kwa sababu tu una itikadi za Chadema.

Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.
ila nikikumbuka kesi ya marehemu Aneth Msuya basi tuu
 
Acha Kibatala afanye kazi yake.
Umesema amekushawishi nawe kusoma sheria,unaonaje ukaenda kuwa wakili wa serikali ili upambane na Kibatala kwenye kesi hiyo??

Lazima watu wafundwe tena kuhusu PGO hakuna porojo kwenye mambo ya msingi yanayohusu maisha ya watu.
Mleta mada usikose siku za kesi hapo Kisutu)))
 
Kesi ya mke wa Msuya ilikuwa ni ndogo?
Kuna watoto wadogo wanafungua kesi mahakama ya Afrika na wanaishinda serikali ila sijaona wakijitapa...

Kuna mawakili walienda kupambania mali za nchi huko duniani na walipambana na mawakili wa kueleweka ila sijawahi kuona mbwembwe zao...

Huyu ndugu yenu ana Ego iliyozidi.
 
Kuna watoto wadogo wanafungua kesi mahakama ya Afrika na wanaishinda serikali ila sijaona wakijitapa...

Kuna mawakili walienda kupambania mali za nchi huko duniani na walipambana na mawakili wa kueleweka ila sijawahi kuona mbwembwe zao...

Huyu ndugu yenu ana Ego iliyozidi.
Na wewe si ukafungue ya kwako, acha jamaa atambe sasababu ndiyo inampa maisha town hajawahi kuwa mjinga kama wana CCM wenzako.
 
Hakuna dharau wala kebehi hapo wewe ni mjinga tu hujui haki za raia na wajibu wa mwanasheria.

Kama tuna tatizo Tanzania basi tatizo hilo ni kwamba wanasheria wetu si wakali vya kutosha, hawana kebehi za kutosha, hawana dharau za kutosha.
kwel kabisa ukisikiliza mawakili wa nchi za watu wakati wakiwahoji mashaidi hasa us ndo utajua kuwa wanasheria wanatakiwa kuwa katili, wakali, wenye dharau, kebehi, kejeli, maneno ya shombo, wasicheke na kima, huwa najiuliza wale wanasheria wa kujitegemea wa us wakija huku kwetu, si wanasheria wa serikali watakuwa wanakimbia kesi.
 
Kuna watoto wadogo wanafungua kesi mahakama ya Afrika na wanaishinda serikali ila sijaona wakijitapa...

Kuna mawakili walienda kupambania mali za nchi huko duniani na walipambana na mawakili wa kueleweka ila sijawahi kuona mbwembwe zao...

Huyu ndugu yenu ana Ego iliyozidi.
Hzo kesi walizoenda kupambania huko duniani walishinda?
 
Back
Top Bottom