Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HatersMungu ana miujiza, Pale MZUMBE class yetu ya LLB Kibatala Ndio alikuwa kilaza. Muulize Dr. Joel, Binamungu na Mavunde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HatersMungu ana miujiza, Pale MZUMBE class yetu ya LLB Kibatala Ndio alikuwa kilaza. Muulize Dr. Joel, Binamungu na Mavunde
UWT akili zenu hazina akili, hapo kosa ni nini sasa?Huwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi kuliko wewe, mfano marehemu Dkt.Masumbuko Lamwai, Herbet Nyange, Mosses Maira, Mabere Nyaucho Marando, Professa Abdallah Safari nk.
Nilikuwa nashinda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwasikiliza mabingwa hao tu wakiwakilisha watu mahakamani, miongoni mwa mawakili waliobaki ni huyu msomi Majura Magafu.Huyu ni bingwa kuliko wewe Kibatala.
Kwanza kwenye roll of advocates nadhani Magafu ni senior kwako, lakini hata hivyo nimekuwa nikikuona sana Kibatala ukiongea kwa kebehi sana dhidi ya serikali.Kwa mfano leo katika kesi ya Boniface na Malisa unasoma hati ya mashtaka mbele ya waandishi wa habari kwa majivuno ukisema unawasubiri hao waliokuwa wakifanya press yaani Jeshi la Polisi na utaomba waitwe mahakamani ili uweze kuwahoji.
Ukaongea kwa kebehi eti nanukuu, " Tutaomba pia hao ambao mwanafamilia amesema ni jeshi waje pia kutoa ushahidi." mwisho wa kunukuu.
Maneno hayo ni ya dharau, kebehi na majivuno, huko serikalini kuna wanasheria wasomi kuliko wewe, kwanza unavyojifanya mjuaji naona kama unawatafutia balaa hao washtakiwa wawili, kesi ni ushahidi na ushahidi kuwa washtakiwa wametenda kosa ushahidi dhidi yao utathibitishwa mahakamani na hao unaowapa matumaini utawasababishia matatizo.
Wewe kujua sheria haina maana kuwa Jacob na Malisa hawawezi kuwa behind the bars, nakusihi sana Bro, navutiwa sana sana sana na uwezo na kipaji ulichonacho kisheria lakini sio sawa kuwa mjivuni, kudharau mamlaka kwa sababu tu una itikadi za Chadema.
Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.
Kibatala anaongea factKibatala ndo Role model wa Madeleka Maana Madeleka nae anaongea shit sana japo yeye hana mafanikio hayo kama ya Kibatala ye bado nyokaa tu, huyu kibatala ye ameshinda kesi nyingi.
UWT wanateswa na mafanikio ya KitabalaHuyu ni mlevi fulani tu wa gongo. Yaani anataka kituaninisha kuwa serikali ni Mungu, Kibatala anapaswa kuisujidia. Mleta mada atakuwa kashikwa pabaya, amepaniki.
Kesi ya mke wa Msuya ilikuwa ni ndogo?Kimsingi Kibatala ni mwanasiasa katika sheria ...
Watu wanaokabiliwa na kesi ngumu huwa hawamuajiri Kibatala ...
Kitabala na Lissu wanaitendea haki tasinia ya sheriaMimi ni mwanaCCM ila sioni tatizo hapo kuhusu Kibatala. Tunahitaji mawakili kama Kibatala wa kutosha... hao unaowataja kama seniors ni waoga kinyama. Sugu kwenye kitabu chake alisema Prof Mgongofimbo alijitoa ghafla kwenye kesi aliyotaka kufungua kuhusu dili lake alilonyang'anywa na Ruge. Hata Shigongo naye alishalalamika kuhusu hilo. Hao seniors wengi hawana amshaamsha kama Kibatala.
CCM wakiiba wanawapa na chawa waoMnahangaika na watu wanaotetea haki za watu mnaacha mijizi ya ccm serikalini ikidunda tu. Acha mkejeliwe
ila nikikumbuka kesi ya marehemu Aneth Msuya basi tuuHuwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi kuliko wewe, mfano marehemu Dkt.Masumbuko Lamwai, Herbet Nyange, Mosses Maira, Mabere Nyaucho Marando, Professa Abdallah Safari nk.
Nilikuwa nashinda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwasikiliza mabingwa hao tu wakiwakilisha watu mahakamani, miongoni mwa mawakili waliobaki ni huyu msomi Majura Magafu.Huyu ni bingwa kuliko wewe Kibatala.
Kwanza kwenye roll of advocates nadhani Magafu ni senior kwako, lakini hata hivyo nimekuwa nikikuona sana Kibatala ukiongea kwa kebehi sana dhidi ya serikali.Kwa mfano leo katika kesi ya Boniface na Malisa unasoma hati ya mashtaka mbele ya waandishi wa habari kwa majivuno ukisema unawasubiri hao waliokuwa wakifanya press yaani Jeshi la Polisi na utaomba waitwe mahakamani ili uweze kuwahoji.
Ukaongea kwa kebehi eti nanukuu, " Tutaomba pia hao ambao mwanafamilia amesema ni jeshi waje pia kutoa ushahidi." mwisho wa kunukuu.
Maneno hayo ni ya dharau, kebehi na majivuno, huko serikalini kuna wanasheria wasomi kuliko wewe, kwanza unavyojifanya mjuaji naona kama unawatafutia balaa hao washtakiwa wawili, kesi ni ushahidi na ushahidi kuwa washtakiwa wametenda kosa ushahidi dhidi yao utathibitishwa mahakamani na hao unaowapa matumaini utawasababishia matatizo.
Wewe kujua sheria haina maana kuwa Jacob na Malisa hawawezi kuwa behind the bars, nakusihi sana Bro, navutiwa sana sana sana na uwezo na kipaji ulichonacho kisheria lakini sio sawa kuwa mjivuni, kudharau mamlaka kwa sababu tu una itikadi za Chadema.
Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.
Kuna watoto wadogo wanafungua kesi mahakama ya Afrika na wanaishinda serikali ila sijaona wakijitapa...Kesi ya mke wa Msuya ilikuwa ni ndogo?
Na wewe si ukafungue ya kwako, acha jamaa atambe sasababu ndiyo inampa maisha town hajawahi kuwa mjinga kama wana CCM wenzako.Kuna watoto wadogo wanafungua kesi mahakama ya Afrika na wanaishinda serikali ila sijaona wakijitapa...
Kuna mawakili walienda kupambania mali za nchi huko duniani na walipambana na mawakili wa kueleweka ila sijawahi kuona mbwembwe zao...
Huyu ndugu yenu ana Ego iliyozidi.
kwel kabisa ukisikiliza mawakili wa nchi za watu wakati wakiwahoji mashaidi hasa us ndo utajua kuwa wanasheria wanatakiwa kuwa katili, wakali, wenye dharau, kebehi, kejeli, maneno ya shombo, wasicheke na kima, huwa najiuliza wale wanasheria wa kujitegemea wa us wakija huku kwetu, si wanasheria wa serikali watakuwa wanakimbia kesi.Hakuna dharau wala kebehi hapo wewe ni mjinga tu hujui haki za raia na wajibu wa mwanasheria.
Kama tuna tatizo Tanzania basi tatizo hilo ni kwamba wanasheria wetu si wakali vya kutosha, hawana kebehi za kutosha, hawana dharau za kutosha.
Hzo kesi walizoenda kupambania huko duniani walishinda?Kuna watoto wadogo wanafungua kesi mahakama ya Afrika na wanaishinda serikali ila sijaona wakijitapa...
Kuna mawakili walienda kupambania mali za nchi huko duniani na walipambana na mawakili wa kueleweka ila sijawahi kuona mbwembwe zao...
Huyu ndugu yenu ana Ego iliyozidi.