Kibatala wewe ni wakili mzuri na msomi lakini punguza majivuno na dharau dhidi ya mamlaka

Mbowe alikua kashapotea kwenye ile kesi, Serikali kuondoa lile shauri ndio ilikuwa pona yao.
Kesi yakijinga na kipumbavu kama ile hata babu yako hajasomea Sheria angejua mulitaka kumnyonga Mh Mbowe nyie wachawi na wavuta bangi wahuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…