Kiboko ya wabambiaji kwenye daladala

Kiboko ya wabambiaji kwenye daladala

Kuna mijidada inajibambisha yenyewe bana tena inakusugulia kabisa.

Wakuu msaada,
Nilipanda mwendokasi toka Ubungo maji tu Fire humo nikakutana na mwamba alikuja kusimama mbele yanguakiniangalia sana kwa kuibia na mkono wake kauweka kwenye zipu yangu akijifanya kuuhamishahamisha yani alikua akinipapasa rungu kwa makusudi kabisa, alikua na maana gani?

Alikua amevalia kipusa jamaa alipoingia nilimwona wa maana vile alinisalimia kwa heshima licha ya kunizidi umri ila nilisitushwa na macho yake akinishangaa nilivyovyaa nikahisi wenda ni vile tu nimeulamba.
Tulishuka kituo kimoja nilipotea haraka sana.
Machoko yanakera sana maana hapo siku inakuwa ishaharibika
 
Machoko yanakera sana maana hapo siku inakuwa ishaharibika
Siku zotee wanaosemaga hivi ndio walaji wazuri sn. Kuna jamaa mmoja alikuwa anawaponda sn Arusha kumbe ndie mlaji mzuri na ni mtaalamu wa kuichakata tigo vzr sn
 
Siku zotee wanaosemaga hivi ndio walaji wazuri sn. Kuna jamaa mmoja alikuwa anawaponda sn Arusha kumbe ndie mlaji mzuri na ni mtaalamu wa kuichakata tigo vzr sn
MUngu aniepushe na hiyo LAANA mademu ni watamu sana
 
Wamejaa bisexuals mtaani, bas wakisikia kuhusu Gaysim wanahemkwaa na kujistukiaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisaaa, haohao akipita mtu mwenye wowowo utasikia check mbogaa, yaan full mvurugano tuu
 
Mbon kam mtoa mada nae ka left
@
 
Back
Top Bottom