bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Aliwaibia wasiojua maandikoLakini sio kwa hila za wazi za hivyo. Pia haihusishi watu wengi hivyo kwa wakati mmoja.
Halafu waganga wana yao.
Jamaa alikuwa kama anaua nyani hakuangalii usoni.
Halafu hivi vya kuja kwa sura ya Mungu na kulitaja jina la Yesu Mwenyezi Mungu huingilia kati haraka sana.
قُلْ صَدَقَ اللَّـهُ ۗ فَاتَّبِعُوا مِلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ ﴿٩٥﴾Nijuinge na upi sasa katika huo niliyotaja?
Kuna siku tuliambiwà tutoe sadaka ili tupewe fursa ya Kumuona. Then tukaitwa na chawa wake. Aliyetoa buku to buku 10. Tukaambiwa Kumuona ni Laki5 because hawezi kuua Mchawi Kwa buku1-10. Kama huna bye-bye Nabii haoni Mtu binafsi Kwa utabiri bila5laki. Kilinge cha Wachawi Kwa kina la Yesu KristoHuyu kiboko ya wachawi alivuka mipaka yote ya ustaarabu na mbaya zaidi sio mtanzania. Naipoengeza sana serikali kwa kumfungia. Imfungie na Mwamposa pia.
Okay 👍, Nyerere na magu ni kitu kimojaNyerere hakuwa na machawa bali alimimya demokrasia, na kukandamiza mawazo mbadala .
Nyerere huyo huyo ndio aliyefuta vyama vingi ila kaja kusifiwa eti ndio alirudisha vyama vingi.
Tofauti ya Moi na Nyerere ni ndogo sana kiutawala , Nyerere walau alifika level tu za juu kielimu ila ukija katika suala la kuzima mawazo mbadala utawakuta kina Oscar Kambona , Abdulrahman Babu, Aboud Jumbe walipokutana na mkono wa Chuma wa Nyerere.
Huku kwa Kenya kina Jaramogi Oginga ,Keneth Matiba ,Robert Ouko wakikumbana na mkono wa chuma wa Moi
Wasajiliwe kama waganga wa kienyeji na si viongozi wa kirohoMakanisa yote Tanzania yamejaa ujanjaujanja tu, KKKT wamegawanyika sasa hivi Kuna KKKT ya Afrika Mashariki lakini hiyo tisa wanatumia sadaka za masikini kuanzisha shule lakini watoto wa waumini masikini hawaruhusiwi kusoma bure mfano mzuri shule za Wakatoliki ada ni mlima kwa masikini kumudu.
Kwaiyo Manabii wanapigwa vita kwasababu wamewavuta masikini wengi na hivyo makanisa makongwe yanakosa maokoto.Hii ni vita ya maokoto;mtu anasema ooh, Manabii wanauza maji ya upako,mbona kanisa katoliki wanayo nao wanayaita ya baraka🤣🤣.
Mambo ya imani ni magumu,Nabii anauza maji ya upako shilingi 1000-2000 ila Kuna mganga Handeni kwa Msisi anahitaji mbuzi na kondoo na kapelekewa bila maswali ila Nabii akilamba buku tano nongwa!🤣🤣🤣
Nachochea mjadala!وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ ﴿٨٥﴾
85. Na yeyote anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitokubaliwa kwake, naye katika Aakhirah atakuwa miongoni mwa waliokhasirika.[31]
آل عمران
hao manabii si bora wangejenga hata shule basi, ila kazi yao hawa manabii wa kisasa wa uongo, ni kulala na wanawake na kulipa pesa kwa waganga, kununua magari ya garama, kulipa mishahara mabodigadi na ujinga wote unaoufahamu.Makanisa yote Tanzania yamejaa ujanjaujanja tu, KKKT wamegawanyika sasa hivi Kuna KKKT ya Afrika Mashariki lakini hiyo tisa wanatumia sadaka za masikini kuanzisha shule lakini watoto wa waumini masikini hawaruhusiwi kusoma bure mfano mzuri shule za Wakatoliki ada ni mlima kwa masikini kumudu.
Kwaiyo Manabii wanapigwa vita kwasababu wamewavuta masikini wengi na hivyo makanisa makongwe yanakosa maokoto.Hii ni vita ya maokoto;mtu anasema ooh, Manabii wanauza maji ya upako,mbona kanisa katoliki wanayo nao wanayaita ya baraka🤣🤣.
Mambo ya imani ni magumu,Nabii anauza maji ya upako shilingi 1000-2000 ila Kuna mganga Handeni kwa Msisi anahitaji mbuzi na kondoo na kapelekewa bila maswali ila Nabii akilamba buku tano nongwa!🤣🤣🤣
Hata padre waraqa nae?وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ ﴿٨٥﴾
85. Na yeyote anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitokubaliwa kwake, naye katika Aakhirah atakuwa miongoni mwa waliokhasirika.[31]
آل عمران
Wajinga ndio waliwaoMcongo kapiga hela za wajinga
Kumuona Tu laki tano..
Hapana.Okay 👍, Nyerere na magu ni kitu kimoja
Magufuliii anaingiaje hapo wewe kima ?Mtindo wa kulipa machawa waje kusifiwa uliasisiwa na Magufuli huko CCM .
Hizo dini zenu za kitapeli siziungi mkono hata kidogo ila kuna double standard kudeal na hao matapeli maana wengine wanaachwa tu sababu watawala wana maslahi nao.
Nyonyo zako tamu sanaMagufuliii anaingiaje hapo wewe kima ?