GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
PoleYule mshenzi alimpiga dada yangu laki 5 hivi hivi daaah inauma sana
Amfuate Lubumbashi Congo DR huko akazichukue.Yule mshenzi alimpiga dada yangu laki 5 hivi hivi daaah inauma sana
Si useme tu ni wewe.Yule mshenzi alimpiga dada yangu laki 5 hivi hivi daaah inauma sana
Ndo keshakimbia ivo afu ni juzi tu mwezi wa 7 tar 4Amfuate Lubumbashi Congo DR huko akazichukue.
Wengine tuliitadhalisha jamii/nchi mapema sana..Yule mshenzi alimpiga dada yangu laki 5 hivi hivi daaah inauma sana
Mimi hizi mambo hata siamini ni dada yangu alikuja kutoka arusha kafikia kwangu akiwa na majanga yake akesema anaenda kwa nabii kiboko ya wachawi huko buza, ndo atasaidika nilimkataza akaniambia mimi saivi ni mtoto wa shetani na atanisema kote kwenye ukoo na maombi juu nikaombewa nakwambia tv ilikuwa ni mwamposa mda wote nk:Si useme tu ni wewe.
Daah! Inauma sana maana hata mtaji wake wa ndimu umeyumba kisa huyo mshenziWengine tuliitadhalisha jamii/nchi mapema sana..
Ni vile tu, hatuna vipaumbele Vya msingi.
Huyo ni wewe bhana.Mimi hizi mambo hata siamini ni dada yangu alikuja kutoka arusha kafikia kwangu akiwa na majanga yake akesema anaenda kwa nabii
Mwanangu kabisa(mshikaji) nae kapigwa kipumbavu 2milioni.Daah! Inauma sana maana hata mtaji wake wa ndimu umeyumba kisa huyo mshenzi
Daah hii dunia ni ngumu sana aiseeMwanangu kabisa(mshikaji) nae kapigwa kipumbavu 2milioni..
Kuja kusanuka anatuambia...
Nimekupa stori halisi mkuu mimi utanipiga kwenye vitu vingine ila sio kunisaidia kwenye kuniombea mkuu hiyo ni kamweHuyo ni wewe bhana.
Acha bhasi Mambo yako.
Dada ako aliporwa hizo hela?Ndo keshakimbia ivo afu ni juzi tu mwezi wa 7 tar 4
Mimi simfahamu kiboko ya wanga, lakini napenda kufahamu, "Serikali haina dini", Sasa inafahamuje kama imani fulani ni fake au ipi Sio fake? Au sadaka ipi ikitolewa kwenye dhehebu fulani, ipi ni halali na ipi ni utapeli? Kama mtu kaenda kwenye dhehebu lolote na kutoa sadaka kwa hiyari, hajalaziishwa, kwanini serikali iingilie? Kama yeye anapambana na wachawi nao wachawi Wanatakiwa wapambane na wao kwenye ulimwengu wa roho, sio watetewe na serikali 🤔