Kiboko ya Wachawi aonekana DR Congo, awatambishia Watanzania kuwa anakula maisha. Asema amemisi zile laki tano za kiingilio

Et nakumuona kuhani mussa et laki mbili dah kweli wajinga wengi yan biashara yoyote ukifanikiwa kuwashika wanawake bas ushatoboa maana mwaume kuingia mkenge simple kupitia huyo mwanamke
 
Kuna mzee jirani yangu aliniambia alikwendaga kwa huyo jamaa huko buza,alikuwa anamsifia huyo kiboko ya wachawi nimemtafuta nimeambiwa amesafiri akirudi lazima nimtafute anieleze tena mtazamo wake na hizi clip najua atakuwa kaziona.
Hawa jamaa ni noma wanajua kumuaminisha mtu
 
Ukitaka kujua wa Tz ni wajinga kupindukia hapo jamaa hata akiamua kurudi Tz bado atakusanya kujiji chake na ataendelea kuwatapeli na wataendelea kumuita Nabii
 
Ndiyo nimemsikia nitamnukuu kwa kifupi:

β€œManake bado Tanzania nawakubali hahahah (kwa kukubali kupigika kirahisi i think) mtajua hamjui wendawazimu hahaha”. HIvi ndivyo alivyosema au unaona jinai yoyote ktk matamshi yake?
Hakuna jinai kwa matamshi hayo
 
Ukimpata kabla ya kumuonyesha hizi clips hakikisha kuna vijana wa huduma ya kwanza karibu maana anaweza akazirai kwa hasira!
 
Yuko sahihi kabisa Alivyowanyoosha
Bado na yule anayewakanyagisha
Wese πŸ˜„ mpaka mk8ja stuka mshachelewaaa
Mambugilaaa nyieee

Ova
 
Yuko sahihi na namuunga mkono, watanzania sisi n wapumbavu sana inapokuja suala la dini.
 
Jamaa alikuja mjini na akili yake tu , pesa akazikuta jijini Daslamu .
 
Wote wale wale sema tu yule mfumo unamlinda πŸ˜„
Ila watu wana hezea sana

Ova
Ndio maana mm na maswala ya kutoa michango ktk nyumba za ibada sitaki.. ni kheri nimpe maskini mkononi.
 
Safi sana kiboko ya wachawi, hakika umeifanya kazi yako vzr.
Natamani sana urudi kwa style nyingine ili uendelee kufanya biashara zako za kuwanyoosha wapumbavu.
 
Yule mshenzi alimpiga dada yangu laki 5 hivi hivi daaah inauma sana
Huyo sio mshenzi, angekuwa n mshenzi asingeweza kuwalamba.
Mm nafurah sana nikiona kuna watu wamefundishwa adabu kwa style hiyo ya kutumia dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…