Mtu mwenye akili timamu anawezaje kwenda kwa hawa mtaahira?
InasikitishaKiukweli ndugu zetu dini yenu inachezewa sana,,, huu upuuzi huwezi kuukuta msikitini bakora lazima zitembee
Watoto 40?! Wewe alikutambulishia wapi?Nawaonea huruma watoto wake arobaini aliowaacha Tanzania. Sijui wanatunzwa na nani.
ukishakubali kuitwa kondoo basi unakuwa kondoo kweli mimi sitaki kuitwa kondooYule mshenzi alimpiga dada yangu laki 5 hivi hivi daaah inauma sana