Kalamu Nzito
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 349
- 805
Hivi karibuni kuna clip zinasambaa zikimuonyesha aliyekua akijiita Nabii Kiboko ya Wachawi akijigamba kuwapiga waumini wake alipokua Tanzania. Ameonyesha pia mjengo wake unaoendelea na ujenzi huku akisema ame-miss zile laki tano za watanzania za viingilio. Anazungumza maneno ya kejeli kama kuwaita waumini wendawazimu na kusema maneno kama "mtajua hamjui."
Wale mnaodandia makanisa kutafuta miujiza, mjifunze kitu hapa. Hizi ni fedheha kwa waliokua waumini wa Kiboko ya wachawi.
Wale mnaodandia makanisa kutafuta miujiza, mjifunze kitu hapa. Hizi ni fedheha kwa waliokua waumini wa Kiboko ya wachawi.