Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni kweli.Ni mwanzo mzuri wa kudhoofika kwa CCM. CCM bila support ya dola hainanguvu ya kushindana na CHADEMA.
wanachama wa chadema wanapenda chama, wakati wale wa CCM ni hela ya serikali. Wakikosa hiyo hela hawajui lolote kuhusu CCM
Kukiichwa kutapambazuka..Mungu ibariki CHADEMA![emoji1545]
Hawa wanachama wa Chadema walikamatwa na kuburuzwa Mahakamani, kwa kosa kubwa la kukutwa kwenye kikao cha ndani wakijisajili kwa njia ya kisasa ya CHADEMA DIGITAL.
Leo serikali imetangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Hata hivyo wanachama wa Chadema kwa maelfu wanakibiliwa na kesi za uongo zilizotengenezwa wakati wa Uchaguzi wa mashaka wa 2020, na wengi wao bado wako mahabusu hadi sasa.
Mungu ibariki Chadema
Unapambanuaje yaliyo wazi?Ni kweli.
Lakini sijutii kuwa mwanaccm kwani ni sehemu ya somo la kupambanua
💔💔👃Ni kweli.
Lakini sijutii kuwa mwanaccm kwani ni sehemu ya somo la kupambanua
Mku yaliyowazi ni sehemu ya somo kwangu piaunapambanuaje yaliyo wazi ?
Toa mfano angalau wa mpenda fwedha mmoja au wawili mkuuNi mwanzo mzuri wa kudhoofika kwa CCM. CCM bila support ya dola hainanguvu ya kushindana na CHADEMA.
wanachama wa chadema wanapenda chama, wakati wale wa CCM ni hela ya serikali. Wakikosa hiyo hela hawajui lolote kuhusu CCM
SHETANI LAZIMA APATE AIBU
Hawa wanachama wa Chadema walikamatwa na kuburuzwa Mahakamani, kwa kosa kubwa la kukutwa kwenye kikao cha ndani wakijisajili kwa njia ya kisasa ya CHADEMA DIGITAL.
Leo serikali imetangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Hata hivyo wanachama wa Chadema kwa maelfu wanakabiliwa na kesi za uongo zilizotengenezwa wakati wa Uchaguzi wa mashaka wa 2020, na wengi wao bado wako mahabusu hadi sasa.
Mungu ibariki Chadema
Tuna polisi ya ajabu sn nchi hii
Hawa wanachama wa Chadema walikamatwa na kuburuzwa Mahakamani, kwa kosa kubwa la kukutwa kwenye kikao cha ndani wakijisajili kwa njia ya kisasa ya CHADEMA DIGITAL.
Leo serikali imetangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Hata hivyo wanachama wa Chadema kwa maelfu wanakabiliwa na kesi za uongo zilizotengenezwa wakati wa Uchaguzi wa mashaka wa 2020, na wengi wao bado wako mahabusu hadi sasa.
Mungu ibariki Chadema
Alikuwa ni zaidi ya shetaniIla yule mzee anapata tabu sana huko kuzimu aliko.
JESUS IS SAVIOR
Ni zile teuziNi mwanzo mzuri wa kudhoofika kwa CCM. CCM bila support ya dola hainanguvu ya kushindana na CHADEMA.
wanachama wa chadema wanapenda chama, wakati wale wa CCM ni hela ya serikali. Wakikosa hiyo hela hawajui lolote kuhusu CCM
7ya na bashiteToa mfano angalau wa mpenda fwedha mmoja au wawili mkuu
Amen.
Hawa wanachama wa Chadema walikamatwa na kuburuzwa Mahakamani, kwa kosa kubwa la kukutwa kwenye kikao cha ndani wakijisajili kwa njia ya kisasa ya CHADEMA DIGITAL.
Leo serikali imetangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Hata hivyo wanachama wa Chadema kwa maelfu wanakabiliwa na kesi za uongo zilizotengenezwa wakati wa Uchaguzi wa mashaka wa 2020, na wengi wao bado wako mahabusu hadi sasa.
Mungu ibariki Chadema
Wanaccm- Mnatafunika rohoni kuona maelewano yanayoendelea kati ya Chadema na kiongozi mkuu wa nchi.
Hawa wanachama wa Chadema walikamatwa na kuburuzwa Mahakamani, kwa kosa kubwa la kukutwa kwenye kikao cha ndani wakijisajili kwa njia ya kisasa ya CHADEMA DIGITAL.
Leo serikali imetangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Hata hivyo wanachama wa Chadema kwa maelfu wanakabiliwa na kesi za uongo zilizotengenezwa wakati wa Uchaguzi wa mashaka wa 2020, na wengi wao bado wako mahabusu hadi sasa.
Mungu ibariki Chadema
AmeeeniKukiichwa kutapambazuka..Mungu ibariki CHADEMA![emoji1545]