Tuko pazuri mnoooViva mbowe vivaaaaa
viva Lisu vivaaaaaaaaaa
viva chadema vivaaa
viva mnyika vivaaa
viva chadema vivaaaa
viva sugu vivaaa
viva chadema vivaaa
viva samia vivaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko pazuri mnoooViva mbowe vivaaaaa
viva Lisu vivaaaaaaaaaa
viva chadema vivaaa
viva mnyika vivaaa
viva chadema vivaaaa
viva sugu vivaaa
viva chadema vivaaa
viva samia vivaaaaa
Mwenyeketi wa mtaa ccm hawezi kuhudhuria mkutano wowote wa ccm bila kupewa japo Buki tano.Ni mwanzo mzuri wa kudhoofika kwa CCM. CCM bila support ya dola hainanguvu ya kushindana na CHADEMA.
wanachama wa chadema wanapenda chama, wakati wale wa CCM ni hela ya serikali. Wakikosa hiyo hela hawajui lolote kuhusu CCM
AllahuAkbar
Hawa wanachama wa Chadema walikamatwa na kuburuzwa Mahakamani, kwa kosa kubwa la kukutwa kwenye kikao cha ndani wakijisajili kwa njia ya kisasa ya CHADEMA DIGITAL.
Leo serikali imetangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Hata hivyo wanachama wa Chadema kwa maelfu wanakabiliwa na kesi za uongo zilizotengenezwa wakati wa Uchaguzi wa mashaka wa 2020, na wengi wao bado wako mahabusu hadi sasa.
Mungu ibariki Chadema
Mkuu hao walikuwa na kesi ya kukusanyika, ni kwenye hizi harakati za katiba mpya. Sio wa uchaguzi 2020
Hawa wanachama wa Chadema walikamatwa na kuburuzwa Mahakamani, kwa kosa kubwa la kukutwa kwenye kikao cha ndani wakijisajili kwa njia ya kisasa ya CHADEMA DIGITAL.
Leo serikali imetangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Hata hivyo wanachama wa Chadema kwa maelfu wanakabiliwa na kesi za uongo zilizotengenezwa wakati wa Uchaguzi wa mashaka wa 2020, na wengi wao bado wako mahabusu hadi sasa.
Mungu ibariki Chadema
Hawa ni wale waliokua kwenye kikao Cha katiba mpya, sio wa uchaguzi 2020Ila yule mzee anapata tabu sana huko kuzimu aliko.
JESUS IS SAVIOR
Kabisa watabaki na aibu tupuWanaccm- Mnatafunika rohoni kuona maelewano yanayoendelea kati ya Chadema na kiongozi mkuu wa nchi.
Mliokuwa mnafaidika na migogor tafuteni kazi nyingine. Kibarua kimeota nyansi
Viva mbowe vivaaaaa
viva Lisu vivaaaaaaaaaa
viva chadema vivaaa
viva mnyika vivaaa
viva chadema vivaaaa
viva sugu vivaaa
viva chadema vivaaa
viva samia vivaaaaa
Kweli kabisa cc kama taifa.maadui wenye kuiombea nchi yetu mabaya watabaki wanapiga miayo.
Umoja ni nguvu........................mshokamano wetu ndio nguvu kwa Taifa letu.
tushikamane kuijenga nchi yetu bila kujali wewe ni chadema, cuf, ccm n.k, sisi sote ni watanzania,, Baba yetu mmoja na Mama yetu ni mmoja tu.
Nafahamu lakini kumbuka kuna kesi nyingi sana za uchaguzi wa 2020Mkuu hao walikuwa na kesi ya kukusanyika, ni kwenye hizi harakati za katiba mpya. Sio wa uchaguzi 2020