Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Posted by Akim kutoka X
Ni hayo tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waganga wa kidijitali hawana mambo mengi wala masharti mengiKwa mganga konyagi inaruhusiwa?
Uraibu (addiction) inafichwa na hali nzuri ya maisha......ndio maana Marekani unakuta mtu yupo fresh na maisha yake kumbe anakunywa dawa za uwendawazimu....Kumbe Hajaachaga kale Kachupa
Bwashee wewe hapo Wanging'ombe umeacha kunywa ulanzi uliochacha?Kwa mganga konyagi inaruhusiwa?
Ni sahihi kabisaUraibu (addiction) inafichwa na hali nzuri ya maisha......ndio maana Marekani unakuta mtu yupo fresh na maisha yake kumbe anakunywa dawa za uwendawazimu....
Jalan mmezidi aibu mnamwekea na kachupa jaman
Kwakuwa bado wanamatumaini makubwa na yeye,bado wana imani nae ya kuwafikisha nchi ya ahadiMbona Kenya wanachama wa ODM hawajawahi taka Raila Odinga aachie madaraka ODM pamoja na kuunga mkono Serikali ya Uhuru Kenyata na sasa Ruto pia
Hv ni kweli chairman anapiga bapa?Kachupa kapo standby anywhere
N kweli, c ndo ilimfanya avunje mkono na kuisingizia serikali 😂Hv ni kweli chairman anapiga bapa?
Umenikumbusha boss wangu😂😂N kweli, c ndo ilimfanya avunje mkono na kuisingizia serikali 😂
😁😁😁😁Kwa mganga konyagi inaruhusiwa?
Kama ni ile picha na mwanae ni feki hakukuwa na bapa pale,hata jukwaa la jamiichek lilitoa ufafanuzi na kuchapisha picha halisinIlikuwa naona jamaa anaitwa mzee wa konyagi nikawa sielew,hv karibuni ndo nikaona picha aliyopiga bahat mbaya kulikuwa na kachupa ka konyagi,sasa kuanzia hapo wabongo wameshikilia bango utazan wao huwa hawatumii
Yeye akichorwa kelele atakazozitoa sio za dunia hii.
FAM anakula kuanzia bapa Bulaya na Halima.Kama ni ile picha na mwanae ni feki hakukuwa na bapa pale,hata jukwaa la jamiichek lilitoa ufafanuzi na kuchapisha picha halisi
Ila mwamba kwa mujibu wa wadau anakula bapa
Kwani Lissu hapigi? mbona ni bora hata Mbowe..Kama ni ile picha na mwanae ni feki hakukuwa na bapa pale,hata jukwaa la jamiichek lilitoa ufafanuzi na kuchapisha picha halisi
Ila mwamba kwa mujibu wa wadau anakula bapa