Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
SahihiJe alitekekeza matakwa yake au maelekezo ya CHAMA kupitia vikao vyao?
Mkuu, siyo wote wanakosa ufahamu. Tatizo ni CCM na watu wake na siyo mtu mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihiJe alitekekeza matakwa yake au maelekezo ya CHAMA kupitia vikao vyao?
Mkuu, siyo wote wanakosa ufahamu. Tatizo ni CCM na watu wake na siyo mtu mmoja
Huyu ni mwendazake Nduli jpmView attachment 2934967
Kipanya, mwandishi wa habari wa aina yake, leo katoa mpya.
Katika gazeti la Mwananchi pg 8, kibonzo, cartoon yenye utata imesheheni.
Kuna kaburi la mtu, inaelekea ni huko mikoani, maana hakuna kaburi lingine karibu, linafukiwa hilo kaburi na takataka, za watu waliokula na kushuba.
Aina ya takataka ni mifupa ya kuku, bia chupa tupu na sahani zilizotumika.
Cha kushangaza, wa mwisho anayetupa, kavaa shari mikono mirefu, shati ya kijani!!!!
Wana JF, tufumbue hili fumbo.
Lakini wewe Kipanya wewe, ingekuwa Awamu ya Tano, Kamanda Muliro angekuhusu.
SAHIHISHO
Sorry nimezoea kuona Kipanya kibonzo cha sehemu hiyo.
Leo hapo yupo KING KINYA.
Kunradhi Kipanya, mods msaada tutani.
😆😆😆 aliyoyafanya ndani ya kipindi kifupi cha utawala wake hayahitaji chawa wala mabango, yanajitangaza yenyewe.Wasichokijua ni kwamba wapigakura wengi huwaambii kitu dhidi ya Jiwe
Huyo kiongozi alianza kujitupia takataka mwenyewe tangu alivyokuwa hai.View attachment 2934967
King Kinya, mwandishi wa habari wa aina yake, leo katoa mpya.
Katika gazeti la Mwananchi pg 8, kibonzo, cartoon yenye utata imesheheni.
Kuna kaburi la mtu, inaelekea ni huko mikoani, maana hakuna kaburi lingine karibu, linafukiwa hilo kaburi na takataka, za watu waliokula na kushuba.
Aina ya takataka ni mifupa ya kuku, bia chupa tupu na sahani zilizotumika.
Cha kushangaza, wa mwisho anayetupa, kavaa shari mikono mirefu, shati ya kijani!!!!
Wana JF, tufumbue hili fumbo.
Lakini wewe King Kinya wewe, ingekuwa Awamu ya Tano, Kamanda Muliro angekuhusu.
Tundu Lisu: Nitakwenda Kaburini kwa Shujaa Magufuli kuweka mauaAngekuwa mtu mzuri wangeng'ng'ania sifa zake wapate kura zaidi
View attachment 2934967
King Kinya, mwandishi wa habari wa aina yake, leo katoa mpya.
Katika gazeti la Mwananchi pg 8, kibonzo, cartoon yenye utata imesheheni.
Kuna kaburi la mtu, inaelekea ni huko mikoani, maana hakuna kaburi lingine karibu, linafukiwa hilo kaburi na takataka, za watu waliokula na kushiba.
Aina ya takataka ni mifupa ya kuku, bia chupa tupu na sahani zilizotumika.
Cha kushangaza, wa mwisho anayetupa, kavaa shati la mikono mirefu, shati ya kijani!!!!
Wana JF, tufumbue hili fumbo.
Lakini wewe King Kinya wewe, ingekuwa Awamu ya Tano, Kamanda Muliro Na yule rsia feki anaye jiona muarabu mwenye wajomba oman kahaba wa makunduchi mbona ajamchora yeye akisha kula na kuvimbiwa ndiyo ananyea hapo kwenye ilo kaburi kabisa
Na yule raia feki anaye jiona muarabu mwenye wajomba oman mbona ajamchora maana yeye ndiyo akisha vimbiwa anakwenya kunyea kaburini kabisa.View attachment 2934967
King Kinya, mwandishi wa habari wa aina yake, leo katoa mpya.
Katika gazeti la Mwananchi pg 8, kibonzo, cartoon yenye utata imesheheni.
Kuna kaburi la mtu, inaelekea ni huko mikoani, maana hakuna kaburi lingine karibu, linafukiwa hilo kaburi na takataka, za watu waliokula na kushiba.
Aina ya takataka ni mifupa ya kuku, bia chupa tupu na sahani zilizotumika.
Cha kushangaza, wa mwisho anayetupa, kavaa shati la mikono mirefu, shati ya kijani!!!!
Wana JF, tufumbue hili fumbo.
Lakini wewe King Kinya wewe, ingekuwa Awamu ya Tano, Kamanda Muliro angekuhusu.
Ni kweli kabisa. Yaani mazuri na mabaya yake hayahitaji mwenezi kuyapigia promo...😆😆😆 aliyoyafanya ndani ya kipindi kifupi cha utawala wake hayahitaji chawa wala mabango, yanajitangaza yenyewe.
Maagizo yalikuwa ya kwake, na hata Sasa sio kwamba tunawaamini hao akina Makamba, lakini tatizo sio kubwa kwa kile kiwango Cha Magufuli.Hoja yangu ni hii.
Kila kitu alichofanya Magu kilitendwa na WATU, watu hao ni CCM na dola.
Sasa leo unatulazimisha tuamini kuwa kutokuwepo kwa Magu ndo tatizo limeisha? Kwa nini tuamini ubaya wa Magu kana kwamba aliyatekeleza yote hayo peke yake?
Bora volkano mfu kuliko iliyolala.Maagizo yalikuwa ya kwake, na hata Sasa sio kwamba tunawaamini hao akina Makamba, lakini tatizo sio kubwa kwa kile kiwango Cha Magufuli.
Usichanganye mbinu na uhayawani.Wakati wa Nyerere tulipiga Kura ya Ndio na Hapana 🐼
Uchaguzi ni Mbinu!
Ndio, ila sio kwenye siasaBora volkano mfu kuliko iliyolala.
Si unafahamu hilo?
Well saidHuyo kiongozi alianza kujitupia takataka mwenyewe tangu alivyokuwa hai.
Kawapa urahisi hawa wa sasa kumtumia yeye kama chaka lao tu.
Yani kiongizi aongee maneno mbovumbovu waziwazi na kujichafua mwenyewe mchana kweupe tunamuona halafu mnategemea akifa asitupiwe takataka kweli?
Ujinga gani huo?
CCM ni lazima itumie huo uhayawani Utake Usitake kwa sababu Katiba ya JMT inawalazimisha kukaa Madarakani 😂😂🔥Usichanganye mbinu na uhayawani.
Kabudi alichanja..😂😂Bwashee ulichanja JJ? 🐼🔥
Ila hakwenda lakiniTundu Lisu: Nitakwenda Kaburini kwa Shujaa Magufuli kuweka maua
Watakaokutana na Mahera ni hao wenye muda wa kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi.CCM ni lazima itumie huo uhayawani Utake Usitake kwa sababu Katiba ya JMT inawalazimisha kukaa Madarakani 😂😂🔥
October Uchaguzi wa Serikali za mitaa mnakutana na Mahera yule yule 🐼
😂😂😂😂🔥Watakaokutana na Mahera ni hao wenye muda wa kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi.