Kibonzo; wenye dhamana na mapato ya serikali wanahakikisha makusanyo hayafiki Benki

Kibonzo; wenye dhamana na mapato ya serikali wanahakikisha makusanyo hayafiki Benki

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1629444409117.png
 
Naam..hizi ndo movement za kuhifadhi kodi zetu.
 
Aisee wasije tuletea tozo ya kupumua hawa maana wakisha kaa kwenye yale majigari yao makubwa wala hawatukumbuki makapuku huku mweeee 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hivi inawezekana kukawa na kikundi cha watu (walio ndani ya mfumo) wanatengeneza "kontroo namba feki" kwa malipo halali na wala usipate shida ukikaguliwa hapao baadae?
 
Back
Top Bottom