Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Aug 20, 2021 Thread starter #2 Huku ndiko makusanyo yetu yanakwenda, tunabaki kuongezewa tozo, litakuja tozo la kukaa baa
dem boy JF-Expert Member Joined Nov 4, 2016 Posts 6,580 Reaction score 15,739 Aug 20, 2021 #3 Naam..hizi ndo movement za kuhifadhi kodi zetu.
W wakaliwetu JF-Expert Member Joined Jul 16, 2020 Posts 671 Reaction score 1,143 Aug 20, 2021 #4 Aisee wasije tuletea tozo ya kupumua hawa maana wakisha kaa kwenye yale majigari yao makubwa wala hawatukumbuki makapuku huku mweeee 🤣 🤣 🤣 🤣
Aisee wasije tuletea tozo ya kupumua hawa maana wakisha kaa kwenye yale majigari yao makubwa wala hawatukumbuki makapuku huku mweeee 🤣 🤣 🤣 🤣
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,926 Reaction score 95,626 Aug 20, 2021 #5 🤣🤣🤣Alivyo serious sasa!
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 5,651 Reaction score 6,966 Aug 20, 2021 #6 Hivi inawezekana kukawa na kikundi cha watu (walio ndani ya mfumo) wanatengeneza "kontroo namba feki" kwa malipo halali na wala usipate shida ukikaguliwa hapao baadae?
Hivi inawezekana kukawa na kikundi cha watu (walio ndani ya mfumo) wanatengeneza "kontroo namba feki" kwa malipo halali na wala usipate shida ukikaguliwa hapao baadae?