Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly,
Ila hii "kampeni ua mbwa" siielewi
Wapi imesemwa Polisi kwenye habari?!Duuh Jeshi la Polisi linazidi kujipiga misumari.
Mabwana mifugo haoKwa hiyo,
Unataka kunambia anaeruhusiwa kuwa na silaha uraiani ni Mwanajeshi?
Sasa mtu asiyeheshimu tahadhari iliyotolewa na kikosi hicho baada ya kukata mbege zake Rau Madukani utamsaidiaje?Tukio limetokea usiku huu,maeneo ya KIBOSHO kindi, ambapo mtu mmoja anaefahamika kwa jina la Munishi,
Afariki dunia baada ya kupigwa risasi ya kifua ktk operesheni ya kuua mbwa wanaozurura hovyo inayoendelea huko KIBOSHO.
Wamarangu,
Wauru,wamachame,waold Moshi,wamasama,warombo tumefiwa huku
Nawasilisha
Kuna cell ya mbwa nchi hii?Mtauwaje mbwa ovyo
Kwann msiwakamate
Ova
Kwa hiyoWamarangu,
Wauru,wamachame,waold Moshi,wamasama,warombo tumefiwa huku
Africa never stops amazing yani mbwa ni wakupigwa risasi??Tukio limetokea usiku huu,maeneo ya KIBOSHO kindi, ambapo mtu mmoja anaefahamika kwa jina la Munishi,
Afariki dunia baada ya kupigwa risasi ya kifua ktk operesheni ya kuua mbwa wanaozurura hovyo inayoendelea huko KIBOSHO.
Wamarangu,
Wauru,wamachame,waold Moshi,wamasama,warombo tumefiwa huku
Nawasilisha
Sasa huyo 'Aisee baba yangu' aliyeuliwa alikuwa na ufupi gani wa kufananishwa na mbwa mpaka apigwe risasi kifuani?Tukio limetokea usiku huu,maeneo ya KIBOSHO kindi, ambapo mtu mmoja anaefahamika kwa jina la Munishi,
Afariki dunia baada ya kupigwa risasi ya kifua ktk operesheni ya kuua mbwa wanaozurura hovyo inayoendelea huko KIBOSHO.
Wamarangu,
Wauru,wamachame,waold Moshi,wamasama,warombo tumefiwa huku
Nawasilisha
Waafrika hatujitambui akili, hatuna viongozi wa maan na ndiyo maana hatutakuja endelea kamwe.Africa never stops amazing yani mbwa ni wakupigwa risasi??Sijui hii nchi inawasomi wa wapi wameshindwa kuwapa sumu?ata kutumia non lethal bullets kuwajerui tu.
Atakuwa alikwepea juu, hivyo akamtarget Kwa juu jmn🤓🤓MBWA KAKWEPA RISASI IKAMPATA BINADAMU AKAFA🤔🤔🤔
KIMO CHA MBWA NA BINADAMU SAWA KWELI? NINA MASHAKA NA ULENGAJI WA HUYO ASKARI
Hatred ya chadema kwa Polisi inajidhihirisha katika uzi huu. Mihemko mihemko inapaaSasa mtu asiyeheshimu tahadhari iliyotolewa na kikosi hicho baada ya kukata mbege zake Rau Madukani utamsaidiaje? That's an accident.
Ndiyo Hao HaoHao ndio askari aliowasifia mama kua wanashabaha hawakosei.