Wewe unaefahamu pia umekosoa nusu, kwanini haukukosoa na kuweka taarifa sahihi?Sio kila askari ni Polisi.huyo mleta habari amekurupuka mno.
Sijui kwa nini huwa watu wanakimbilia kuleta habari nusu nusu?
Ukiona hivyo yeye ndio wale waleKwa hiyo,
Unataka kunambia anaeruhusiwa kuwa na silaha uraiani ni Mwanajeshi?
Au tuseme marehem alikua kainama? Au kajilaza chali?MBWA KAKWEPA RISASI IKAMPATA BINADAMU AKAFA[emoji848][emoji848][emoji848]
KIMO CHA MBWA NA BINADAMU SAWA KWELI? NINA MASHAKA NA ULENGAJI WA HUYO ASKARI
Mbwa anakwepa risasi? Maajabu ya mwaka. Binadamu mwenyewe kuweza kukwepa ni maajabu tosha.Tukio limetokea usiku huu,maeneo ya KIBOSHO kindi, ambapo mtu mmoja anaefahamika kwa jina la Munishi,
Afariki dunia baada ya kupigwa risasi ya kifua ktk operesheni ya kuua mbwa wanaozurura hovyo inayoendelea huko KIBOSHO.
Wamarangu,
Wauru,wamachame,waold Moshi,wamasama,warombo tumefiwa huku
Nawasilisha
Amelipigwa Risasi akiwa anatembea kwa mguu akitokea kazini
Tuombe wakija hapa wasiseme marehemu alikuwa akiigiza kutembea kwa mikono na miguu huku akibweka kama mbwa.Tukio limetokea usiku huu,maeneo ya KIBOSHO kindi, ambapo mtu mmoja anaefahamika kwa jina la Munishi,
Afariki dunia baada ya kupigwa risasi ya kifua ktk operesheni ya kuua mbwa wanaozurura hovyo inayoendelea huko KIBOSHO.
Wamarangu,
Wauru,wamachame,waold Moshi,wamasama,warombo tumefiwa huku
Nawasilisha
Tukio limetokea usiku huu,maeneo ya KIBOSHO kindi, ambapo mtu mmoja anaefahamika kwa jina la Munishi,
Afariki dunia baada ya kupigwa risasi ya kifua ktk operesheni ya kuua mbwa wanaozurura hovyo inayoendelea huko KIBOSHO.
Wamarangu,
Wauru,wamachame,waold Moshi,wamasama,warombo tumefiwa huku
Nawasilisha
Huo ni uzembe tu! tusiume maneno!Hiyo ni ajali katika kazi, inaweza kuwa uzembe wa Askari au wa marehemu, taarifa haijakamilika vizuri
Poleni sana nduguTukio limetokea usiku huu,maeneo ya KIBOSHO kindi, ambapo mtu mmoja anaefahamika kwa jina la Munishi,
Afariki dunia baada ya kupigwa risasi ya kifua ktk operesheni ya kuua mbwa wanaozurura hovyo inayoendelea huko KIBOSHO.
Wamarangu,
Wauru,wamachame,waold Moshi,wamasama,warombo tumefiwa huku
Nawasilisha
Huyo sio Askari polis.ni bwana misitu ndo huwa wanafanya hizo operation ,na wanaruhusiwa kutumia bunduki ,na idara Yao Ina budget kabisa ya manunuzi ya risasi .Kwa hiyo,
Unataka kunambia anaeruhusiwa kuwa na silaha uraiani ni Mwanajeshi?
Polisi tangu lini wakahusika na operation za kuua mbwa ? Siyo kila Askari ni polisiDuuh Jeshi la Polisi linazidi kujipiga misumari.
Kwani wewe nani kakwambia ni polisi?Kuna vitu vyashangaza sana ! hizo ni kazi za watu wa veterinary department .
Hao tanpol wanaenda kutumia live bullets kwa mbwa wakati kitengo cha vet wangeweza kuelimiate hao mbwa in a safest way !
Hao polisi hiyo si kazi yao pia nani kawatuma?