Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikushangai, kila mtu na upeo wake anavyoyaona mambo.Ni kama vile siasa za kuunga mkono juhudi kati ya CCM na CHADEMA
Kujua mchezaji kafanya makosa mpaka uwe Simba au Yanga mbona unajichanganya mkuu mimi ni Yanga mpira naujua toka enzi za kina Hamis Tobias Gagalino kwa hiyo sina unazi kwenye kusema ukweli..sisi yanga tulikataa msishadadie alichofanya Fei coz tuliona mbali sana ona sasa yamewakuta yale yale kwanini msiwe wapole?
Wote hao wamekuja kwenye malisho mazuriSilioni tatizo hapo, nauona uzalendo.
Sikushangai, kila mtu na upeo wake anavyoyaona mambo.Ni kama vile siasa za kuunga mkono juhudi kati ya CCM na CHADEMA
Wajinga ndiyo waliwao.Wote hao wamekuja kwenye malisho mazuri
Mimi na wewe ni wajingaWajinga ndiyo waliwao.
Hela za Mkataba zinarudi bila makubaliano mengine tena..hawa jamaa nani anawadanganya kufanya hivi kama kweli atakua karudisha hela bila kukaa mezani kafanya mambo ya kiboya sana..
Huyo itakuwa wewe tu. Sina asili ya ujinga.Mimi na wewe ni wajinga
Sikuhizi mmekua kama watoto wa kambo lawama kila kituHata huyo Hersi aliye nyuma ya hii sarakasi naye hIli halitamuacha salama.
Ndo hapo chacha ujinga mzigo mzito sana. Bibie za siku nataka nije unifunze QuranAnarudisha pesa kama simba walinunua vitumbua kwake?
Hivi huko kwenye soka si kuna sheria na kanuni zake za kuvunja mikataba? Au ukirudisha tu pesa inakuwa umemaliza?
Hapana...mlisema ndio njia ya kuvunja mkataba Kwa feitof
Feitoto mkataba wake ulikuwa buy out clause. Kama wa kibu nao una hicho kipengele ni sawaHapana...mlisema ndio njia ya kuvunja mkataba Kwa feitoto
Naamini anajua nini anafanyaNi mauza uza tu.
Sasa kurudisha pesa za usajili na mshahara wa mwezi mmoja ndio nini hiyo??
Hapo anavyojiona kamaliza.
Kwa nn asifanye ivyo sasaNdo hivyo hivyo mkuu
Hii ilianza kwa Feisal, wachezaji walipoona Feisal kafanikiwa basi imekuwa ndiyo style yao hiyo.Anarudisha pesa kama simba walinunua vitumbua kwake?
Hivi huko kwenye soka si kuna sheria na kanuni zake za kuvunja mikataba? Au ukirudisha tu pesa inakuwa umemaliza?
Hii ilianza kwa Feisal, wachezaji walipoona Feisal kafanikiwa basi imekuwa ndiyo style yao hiyo.Hela za Mkataba zinarudi bila makubaliano mengine tena..hawa jamaa nani anawadanganya kufanya hivi kama kweli atakua karudisha hela bila kukaa mezani kafanya mambo ya kiboya sana..