Night Watch
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 2,092
- 2,126
Akina nani? Unaweza niwekea reference yangu inayoonesha niliona rahisi?
We bibi acha unafiki. Kwa Fei si ulisema aachwe aende anakotaka?? Naye Kibu aachwe, asipangiweAnarudisha pesa kama simba walinunua vitumbua kwake?
Hivi huko kwenye soka si kuna sheria na kanuni zake za kuvunja mikataba? Au ukirudisha tu pesa inakuwa umemaliza?
Muhuni huyo kijanaAnarudisha pesa kama simba walinunua vitumbua kwake?
Hivi huko kwenye soka si kuna sheria na kanuni zake za kuvunja mikataba? Au ukirudisha tu pesa inakuwa umemaliza?
Kama mkataba wake unaruhusu kufanya hivyo hakuna tatizo hata kidogo.Nadhani ukosefu wa Elimu unachangia sana. Yaani kama ingekuwa hivi sijui kama kuna taasisi zingekuwepo hapa Duniani. Sijajua nani anamdanganya na kwa manufaa gani. Hii tabia ikiendelea ni hatari sana kwa soka letu. Kwamba mchezaji akijisikia tu anarudisha pesa analala mbele? Tutafika kweli?
Mule muleKibu mwenyew mkongo sasa unategemea nn
Shangazi, nakumbuka kwa Feisal na yanga ulikua upande wa Feisal,hukuuliza ikiwa yanga walinunua visheti kwa FeisalAnarudisha pesa kama simba walinunua vitumbua kwake?
Hivi huko kwenye soka si kuna sheria na kanuni zake za kuvunja mikataba? Au ukirudisha tu pesa inakuwa umemaliza?
Anarudisha pesa kama simba walinunua vitumbua kwake?
Hivi huko kwenye soka si kuna sheria na kanuni zake za kuvunja mikataba? Au ukirudisha tu pesa inakuwa umemaliza?
Ndo key player pale ukoloniHebu acheni ubwege basi hata kama umempa mtu dunia yote peke yake,akaja bwege akampa dunia na sayari zake....atakutorokaaaaa.......tuuuuuu,!
Mnalazimisha mtu????Huo ni ubwegeeeeeeeeeee!Achaninae aendeeee.........na mbaki na pisi kavu za njirooooo[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Ndio wanavyoshauriana hivi kwamba ukirudisha pesa ndio imekwisha.Wapo mkuu
Si kuna vyombo vya juu yake? Sheria ni msumeno.Kwa TFF ya karia hamna Sheria ni uhuni tu
Hata Feisal niliuliza sababu zake na kanuni za soka zinasemaje.Shangazi, nakumbuka kwa Feisal na yanga ulikua upande wa Feisal,hukuuliza ikiwa yanga walinunua visheti kwa Feisal
kama anafanya mambo kinyume na sheria, anakuwa si muhini tu, ni mjinga, anaweza kujiharibia ajira yake.Muhuni huyo kijana