Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Unauhakika gani na wakati ndugu zake wote mpaka mke wake na watoto wake wanaishi marekaniKibu alikua na sifa zote, yupo Tz toka akiwa mdogo kabisa.
Wana-inferiority complex kubwa sanaMbumbumbu hawawezi sogea hapa.
Umekabia golini kwao.
Si kaanzia kigoma huko kitambo,kabda hajaenda hata mbeya City!Unauhakika gani na wakati ndugu zake wote mpaka mke wake na watoto wake wanaishi marekani
Ushabiki wa Simba na yanga unazalisha matahira wengi sanaWashabiki wa simba na viongozi wao ni wasahaulifu sana kibu dennis alipewa uraia kwa mlango wa nyuma tena kwa kauli ya wazuri mkuu lakini hawakulalamika
Leo hii singida black stars wamefanya kilekile walichofanya simba inakua nongwa tuacheni double standards
Wewe kweli Utopolo.Ni wapi ilipotajwa Simba ikimwombea uraia Kibu Denis?Ni wasahaulifu hawa watu rage hakukosea kabisa
Washabiki wa simba na viongozi wao ni wasahaulifu sana kibu dennis alipewa uraia kwa mlango wa nyuma tena kwa kauli ya wazuri mkuu lakini hawakulalamika
Leo hii singida black stars wamefanya kilekile walichofanya simba inakua nongwa tuacheni double standardhapo umeanza kuharisha japo mm sio Simba,,ila Kibu amekulia tz japo hajazaliwa tz ,na Sheria zinasema uwe umekaa tz Zaid ya mwaka mmoja mfululizo sasa hao wachezaj hat miezi 2 hawajamalza
Acha uongo kibu Denis kapewa uraia akiwa mbeya cityWashabiki wa simba na viongozi wao ni wasahaulifu sana kibu dennis alipewa uraia kwa mlango wa nyuma tena kwa kauli ya wazuri mkuu lakini hawakulalamika
Leo hii singida black stars wamefanya kilekile walichofanya simba inakua nongwa tuacheni double standards
Soma: Rasmi: Kibu Dennis ni Mtanzania
Soma: Idara ya uhamiaji yatoa ufafanuzi dhidi ya wachezaji wa kigeni Singida Black Stars, wote ni raia wa Tanzania kwa Tajnisi
Hata hao wachezaj wamepewa wakiwa singida black starsAcha uongo kibu Denis kapewa uraia akiwa mbeya city
Kibu anapewa uraia wakati wa uamisho wake kwenda simba kutoka mbeya city ulikwama kwa ishu za urai mpaka waziri mkuu aliingili katiKuna watu wanaleta ushabiki wa Simba na Yanga kwenye swala nyeti la uraia, wakati Simba inamsajili Kibu ilimsajili kama mchezaji wa Kitanzania kwani alishachezea Geita na Mbeya City kama Mtanzania. Wakati huo alikuwa amechaguliwa timu ya Taifa hivyo mpaka anapewa uraia Simba haina sehemu yoyote ya kulaumiwa.
Nje ya mada Mwaka 98 kibu alikua na miaka leo 2025 ana miaka 25! Maajabu hayaishi dunianiNi wasahaulifu hawa watu rage hakukosea kabisa
Simba anaingiajeHata hao wachezaj wamepewa wakiwa singida black stars