Kibu Denis amemzidi nini Ditram Nchimbi?

Kamzidi magoli
 
Ujinga upi ,takwimu za Nchimbi yanga ana magoli mangapi msimu mzima na Kibu ana magoli mangapi na mbeya city ?
Unajua hata nchimbi alikua anafunga sana alipokua polisi Tanzania
Kibu hamna kitu pale forward gani unajificha kwa mabeki na ukicheza timu kubwa ndo madhaifu yanaonekana
 
Nchimbi huyu huyu aliyeshindwa kufunga hata goli moja kwa mwaka mzima?
 
Wewe ni moja watu wasioona jbo jema kwa wenzao. Basi ungeingia wewe ukacheza
 
tofauti yao ni rasta tuu
 
Kibu ni jitu la miraba kama Joseph Kaniki Golota Kumbakumba lazima nyavu zitikisike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…