Kibu Denis amemzidi nini Ditram Nchimbi?

Kibu Denis amemzidi nini Ditram Nchimbi?

Jamani mtamlaumu Tu kibu Kwa sababu mpira wa Jana walikuwa wanacheza pungufu , Kwa jinsi ambayo wabenin waliovokuwa wanacheza mpira ulikosekana muunganiko wa kiungo cha Kati 6& 8 walikuwa hovyo kabisa kipindi cha Kwanza kulikuwa na uhai mbele kidogo Kwa madefenda kutumia mipira mirefu ya juu ambayo toto aliifanyia vyema lkn waliokuwa wakicheza chini yake hakukuwa na muunganiko kabisa ndiyo maana ilifikia kipindi toto anashuka chini kabisa kuchukua mipira,

Kwa hiyo tatizo lililotuponza Jana ni mzamiru

Hakika sasa hivi hawezi tena

Na akiendelea kumchezesha tutafungwa Sana Tu

Magoli ni mipango, bila mipango ni ngumu Sana kufunga

Labda bahati tu
 
Achana na Mpira mzee maana hufuatilii hujui hata nn kinaendelea!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaan mnataka kumfananisha Kibu na yule Mngoni ambaye amekaa mwaka mmoja bila hata kufunga hata kwenye mazoezi na anacheza kwenye nafasi ya Ushambuliaji!
 
Jamani mtamlaumu Tu kibu Kwa sababu mpira wa Jana walikuwa wanacheza pungufu , Kwa jinsi ambayo wabenin waliovokuwa wanacheza mpira ulikosekana muunganiko wa kiungo cha Kati 6& 8 walikuwa hovyo kabisa kipindi cha Kwanza kulikuwa na uhai mbele kidogo Kwa madefenda kutumia mipira mirefu ya juu ambayo toto aliifanyia vyema lkn waliokuwa wakicheza chini yake hakukuwa na muunganiko kabisa ndiyo maana ilifikia kipindi toto anashuka chini kabisa kuchukua mipira,

Kwa hiyo tatizo lililotuponza Jana ni mzamiru

Hakika sasa hivi hawezi tena

Na akiendelea kumchezesha tutafungwa Sana Tu

Magoli ni mipango, bila mipango ni ngumu Sana kufunga

Labda bahati tu
Fei ndio ilikuwa tatizo juzi hakujua wenzake wanachezaje,nini kifanyike yeye ilimradi yupo uwanjanii
 
KUleta u Simba na u Yanga kwenye timu ya taifa hii dhambi itatufikisha pabaya ikija jambo la utaifa tuache ushabiki maandazi
 
Nchimbi!!!!!!?, Mchezaji ambaye mwaka mzima hafungi goli hata moja duh bora KIBU ambaye kipindi yuko mbeya city alifunga magoli 8+
 
N
Leo sikuwa na ratiba ya kutazama mechi ya Taifa Stars dhidi ya Benin. Ila baada ya kusikia watu wakiwa na hamu na shauku ya kumuona Kibu Denis, nikaona nayo ni fursa ya kuweza kumtazama.

Lengo pia ni kutazama ni kipi ambacho Taifa kama Taifa tumekiona kwa Kibu Denis hata tukafikia hatua ya Kugawa Uraia kwake. Ni kheri tungempa uraia Steven Sey (Namungo FC)

Baada ya kufanyika mabadiliko na Mwl Kim Poulsen nikaja kugundua kuwa tumepoteza nafasi ya Uraia kwa mtu asiye na cha ajabu sana katika uchezaji wake wa Mpira.

Hata ukijaribu kuchambua uchezaji wake na takwimu zake kiujumla huoni tofauti kati yake yeye na Ditram Nchimbi.

Nilicho kuja gundua kingine ni kuwa mshawasha uliopo machoni pa watanzani kuhusu Kibu Denis unatokana na uhalisia kuwa watanzania wengi hawajawahi kushuhudia jitu lenye miraba saba likiichezea timu yao ya Taifa, hivyo wakadhani wamejiokotea Lukaku Wao.

Kiuhalisia uwepo wa Kibu Denis kwenye Timu ya Taifa ya Tanzania kunapunguza hamasa na ladha ya Ushindi. Maana mara nyingi anaonekana akikosa basic skills kama vile Kupokea Mipira, Anticipation, Ball Control, Tactical Decisions.

Nadhani kama tusinge muingiza Kibu Denis kwenye mechi ya leo basi Taifa Stars tungepata Ushindi.

Sioni Taifa Stars ikipata matokeo ya Ushindi endapo Kibu Denis anahusika kwenye mechi.
Ni kujidanganya kwa kufikiri kuwa unaweza kufanya scientific analysis kwa mechi moja. Nchimbi unayemlinganisha na Kibu keishacheza mechi kibao hakuna lolote keishaonesha. Wacha tumpe muda.
 
N

Ni kujidanganya kwa kufikiri kuwa unaweza kufanya scientific analysis kwa mechi moja. Nchimbi unayemlinganisha na Kibu keishacheza mechi kibao hakuna lolote keishaonesha. Wacha tumpe muda.
nimekuwa ninamjua tangu akiwa Geita Gold FC je wewe umeanza kumfahamu lini?
 
Back
Top Bottom