utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Taarifa mpya na kubwa kutokea kambini mwa Simba huko Dubai ni kocha Robertinho kumpa zawadi Kibu Denis.
Sababu ya kumpa zawadi hiyo ni kuridhishwa na Kiwango kikubwa cha ufungaji kilichooneshwa na Kibu Denis akiwa mazoezini kiasi cha kumkosha kocha Robertinho Oliviera na kuamua kumchagua kuwa mchezaji bora wa mazoezi ya jana na hata kumpa zawadi.
Kocha huyo amesema huo ni utaratibu wake wa kutoa zawadi kwa mchezaji anayemvutia.
Tutaendelea kuwaletea kila kinachojili huku Dubai kwenye Kambi ya mnyama mkali[emoji1]
[emoji881]NguvuMoja
Sababu ya kumpa zawadi hiyo ni kuridhishwa na Kiwango kikubwa cha ufungaji kilichooneshwa na Kibu Denis akiwa mazoezini kiasi cha kumkosha kocha Robertinho Oliviera na kuamua kumchagua kuwa mchezaji bora wa mazoezi ya jana na hata kumpa zawadi.
Kocha huyo amesema huo ni utaratibu wake wa kutoa zawadi kwa mchezaji anayemvutia.
Tutaendelea kuwaletea kila kinachojili huku Dubai kwenye Kambi ya mnyama mkali[emoji1]
[emoji881]NguvuMoja