Kibu Denis Kuikamua Simba Milioni 760

Kibu Denis Kuikamua Simba Milioni 760

Mikataba ni siri ila hapo unaweza kuta mshahara halisi ni m8 na mkata anakunja m20 hiv inayobaki pasu kwa pasu na wale matop pale juu.
 
Ifike kipindi hizi timu ziwe zinaweka Financial statements zao hadharani....
Mana kuna maswali mengi sana,
Mf.
1.Kama wana uwezo wa kufanya malipo ya namna hiyo,wanashindwaje kujenga viwanja vyao ....?
2.Je,hizo fedha ni zinatokana na vyanzo rasmi vya timu husika ama,mtu binafsi anachangia au ni timu inachukua mikopo...?
 
Kibu Denis amesaini mkataba wa miaka 2 kuendelea kusalia simba kwa Ada ya usajili ni milioni 350, mshahara wa 15 na Gari yenye thamani ya milioni 50.

Kibu jumla atakusanya milioni 760 ndani ya miaka 2, kama pesa za usajili, mshahara pamoja na gari.

View attachment 2987851
Kwa mpira upi? Wakala au meneja wake smart sana.
 
Back
Top Bottom