Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mchezaji wa Simba SC Kibu Denis leo ameonekana katika mazoezi na timu yake akiendelea kujiweka sawa kuelekea katika kilele cha Simba day itakayo fanyika kesho.
Kibu awali hakuoneka akijiunga na wachezaji wezake wa Simba wakati wakijiandaa na msimu mpya.
Na tetesi zilizokuwepo ni kuwa alikiwepo Norway kwenye majaribio na moja ya timu .
Licha Kibu akihusishwa kutaka kujiunga na watani wa Simba ambao ni Yanga SC
Kibu awali hakuoneka akijiunga na wachezaji wezake wa Simba wakati wakijiandaa na msimu mpya.
Na tetesi zilizokuwepo ni kuwa alikiwepo Norway kwenye majaribio na moja ya timu .
Licha Kibu akihusishwa kutaka kujiunga na watani wa Simba ambao ni Yanga SC