Kibu Denis ni mchezaji kituko aliyeamua kuwa tapeli Simba SC

Kibu Denis ni mchezaji kituko aliyeamua kuwa tapeli Simba SC

Chuki hizi dhidi ya wazawa tu ila bongo
 
Hizi ni chuki binafsi tu,utopolo wengi wanatamani Kibu asiendele Simba,akienda leo Yanga anaingia moja kwa moja anapata namba
Umedata wewe sio bure unajua mashabiki wa simba akili zimeruka kutokana na vichapo vya msimu huu Sasa huyo mtanzania feki anacheza namba ya nani🤣🤣🤣🤣🤣
 
Simba kweli mambumbu yaani huyu mkongo kibu Denis anasusa kabisa kusaini eti wanambembeleza chezaji lenyewe garasa hamna kitu ligi nzima Gori Moja straika Gani huyo aisee makolo kazi lnayoyaani chezaji kama kibu nalo linalinga kusaini mkataba mpya hii Kali 🤣, 🤣🤣🤣🤣
 
Viongozi wamevaa miwani za mbao hata hawaoni haya, kibu hajaowa na thamani hiyo labda wanaomtetea waseme kuna magoli anafunga alafu hayaonekani.
 
Kibu d mkandaji piga pesa ikiuma kibu kupiga madola kunywa chupa ufe Kufa kabisa
 
Nilicheka sana, Baada ya taarifa za kibu Denis kuwagomea makolo kusaini mkataba mpya kisha baadae wakala wake akaingiza siasa za kwamba tapeli hilo la söka linatakiwa na mabingwa wa nchi, Yanga sc!

Kibu Denis hana thamani ya milioni 300 wala mshahara wa laki 9 kwa mwezi achilia mbali mil 15 anayotaka, huyu ni mchezaji wa kawaida sana tena zaidi ya sana, ebu fikiria huyu ni mchezaji anayecheza nafasi ya ushambuliaji ila cha ajabu msimu mzima 2023/2024 amecheza mechi 20 za ligi na kufunga goli moja na assist mbili. Unasumbuliwaje kichwa na mchezaji wa namna hii?. Huyu Kibu Denis ni zaidi ya bumunda, limejaa lakini ndani upepo. Aina yake ya mpira ni sawa na safari za chizi kwenda umbali mrefu kisha kurudi na makopo.

Ila ukiuliza pale umbumbumbuni kwa nini wanaliongezea mkataba hilo chakubanga, utasikia jamaa anajituma sanaa!!, hivi ni nani aliwaroga hawa kolozidad? Wapi katika hii dunia kuna tuzo ya mchezaji anejituma, yaan mtu anacheza nafasi ya ushambuliaji, ila mechi 18 mfululizo hana assist wala goli la kusingiziwa anawaendesha kiasi hicho? Vipi mngekuwa na mtu kama pacome au maxi au aziz ki, si mngekuwa mnatembea mnajamba jamba hovyo kwa shibe ya furaha.. Hovyo kabisa
Sasa ndugu yangu una mlaumu nani?
Unamlaumu Kibu Denis kwa kutaka kulipwa mkataba mkubwa?
Unailaumu Yanga kwa kutaka kumnunua Kibu Denis kwa mkataba mnoo?
Unawalaumu Simba kwa kutaka kumng'ang'ania Kibu Denis?

Unapaswa kufahamu tu, mchezaji ghali ni matokeo ya soko, inavyoonekana Kibu Denis ana kitu kikubwa na muhimu ndio maana sokoni yupo juu.
 
Umedata wewe sio bure unajua mashabiki wa simba akili zimeruka kutokana na vichapo vya msimu huu Sasa huyo mtanzania feki anacheza namba ya nani🤣🤣🤣🤣🤣
Unaumwa ww,nimekuambia kibu anapata nafasi yanga acha kukaza fuvu
 
Ni wakati wake na riziki imeelekea upande wake ikiwa atapewa kiasi hicho naamini atamshukuru Mungu kwa Kipaji chake alichopewa
Usiwe na husda mkuu!
Habari za kiswahili swahili hzi eti riziki.......hii biashara mkuu watu wanaangalia output hayo mambo ya riziki kaa nayo wewe.
 
Nilicheka sana, Baada ya taarifa za kibu Denis kuwagomea makolo kusaini mkataba mpya kisha baadae wakala wake akaingiza siasa za kwamba tapeli hilo la söka linatakiwa na mabingwa wa nchi, Yanga sc!

Kibu Denis hana thamani ya milioni 300 wala mshahara wa laki 9 kwa mwezi achilia mbali mil 15 anayotaka, huyu ni mchezaji wa kawaida sana tena zaidi ya sana, ebu fikiria huyu ni mchezaji anayecheza nafasi ya ushambuliaji ila cha ajabu msimu mzima 2023/2024 amecheza mechi 20 za ligi na kufunga goli moja na assist mbili. Unasumbuliwaje kichwa na mchezaji wa namna hii?. Huyu Kibu Denis ni zaidi ya bumunda, limejaa lakini ndani upepo. Aina yake ya mpira ni sawa na safari za chizi kwenda umbali mrefu kisha kurudi na makopo.

Ila ukiuliza pale umbumbumbuni kwa nini wanaliongezea mkataba hilo chakubanga, utasikia jamaa anajituma sanaa!!, hivi ni nani aliwaroga hawa kolozidad? Wapi katika hii dunia kuna tuzo ya mchezaji anejituma, yaan mtu anacheza nafasi ya ushambuliaji, ila mechi 18 mfululizo hana assist wala goli la kusingiziwa anawaendesha kiasi hicho? Vipi mngekuwa na mtu kama pacome au maxi au aziz ki, si mngekuwa mnatembea mnajamba jamba hovyo kwa shibe ya furaha.. Hovyo kabisa
Upo sahihi.Njoo usainiwe wewe.
 
Nishawai kusem nikiwa kocha kibu si anajituma kukaba arud beki mbili siwezi kuwa na mchezaji mbinafis yaani yeye kukimbia weee 1000000000km nyingi bila madhara why asirud namba mbili ili akabe vizuri ..... yaani kibu anakimbia kaangalia chini tena kweny kibendera kule sasa sijui akienda kule anafungaje basi akibaki na kipa anapaisha au anapiga kashoot kadogo au akipiga shoot linaokotewa manzese all in all kibu hana thamani ya iyo pesa

Duniani kote mchezaji mzuri takwimu ndo zinambeba hakuna kusem sijui anakab sijui nguvu mpira wa kisasa na wa leo ni akili tu na ku score na assist kulinga na namba unayocheza basi
 
Nilicheka sana, Baada ya taarifa za kibu Denis kuwagomea makolo kusaini mkataba mpya kisha baadae wakala wake akaingiza siasa za kwamba tapeli hilo la söka linatakiwa na mabingwa wa nchi, Yanga sc!

Kibu Denis hana thamani ya milioni 300 wala mshahara wa laki 9 kwa mwezi achilia mbali mil 15 anayotaka, huyu ni mchezaji wa kawaida sana tena zaidi ya sana, ebu fikiria huyu ni mchezaji anayecheza nafasi ya ushambuliaji ila cha ajabu msimu mzima 2023/2024 amecheza mechi 20 za ligi na kufunga goli moja na assist mbili. Unasumbuliwaje kichwa na mchezaji wa namna hii?. Huyu Kibu Denis ni zaidi ya bumunda, limejaa lakini ndani upepo. Aina yake ya mpira ni sawa na safari za chizi kwenda umbali mrefu kisha kurudi na makopo.

Ila ukiuliza pale umbumbumbuni kwa nini wanaliongezea mkataba hilo chakubanga, utasikia jamaa anajituma sanaa!!, hivi ni nani aliwaroga hawa kolozidad? Wapi katika hii dunia kuna tuzo ya mchezaji anejituma, yaan mtu anacheza nafasi ya ushambuliaji, ila mechi 18 mfululizo hana assist wala goli la kusingiziwa anawaendesha kiasi hicho? Vipi mngekuwa na mtu kama pacome au maxi au aziz ki, si mngekuwa mnatembea mnajamba jamba hovyo kwa shibe ya furaha.. Hovyo kabisa
SIYO UTANI WEWE NI MWEHU KWELI.
ACHA KUSHAABIKIA MPIRA WA MIGUU UTAKUFA BURE HUJUI MPIRA.

UKIWAULIZA WALINDA MLANGO WA SIMBA MCHEZAJI ALIYEWASAIDIA WASIFUNGWE MAGOLI MENGI WATAKUAMBIA KIBU.

UKIMUULIZA SAR KUHUSU MCHEZAJI ALIYELINDA ASIPATE FEDHEHA ATAKUAMBIA NI KIBU.

UKIWAULIZIA MABEKI WA YOUNG AFRICANS MCHEZAJI GANI KUTOKA SIMBA NI TISHIO KWAO MSIMU HUU WATAKUAMBIA NI KIBU.

HATA MLINDA LANGO WA YOUNG AFRICANS KIBU ALIKUWA TISHIO KUBWA KWAKE NA HATA ILE 1-5 ILIKUWA NI KIBU VS YOUNG AFRICANS.

SASA MCHUKUE KIBU MUAMBIE WEWE NI MSHAMBULIAJI WA YOUNG AFRICANS YA SASA MTAKUJA KUSEMA TENA KULE SIMBA BOCCO ALIKUWA AKIMLOGA.
 
Back
Top Bottom