Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umedata wewe sio bure unajua mashabiki wa simba akili zimeruka kutokana na vichapo vya msimu huu Sasa huyo mtanzania feki anacheza namba ya nani🤣🤣🤣🤣🤣Hizi ni chuki binafsi tu,utopolo wengi wanatamani Kibu asiendele Simba,akienda leo Yanga anaingia moja kwa moja anapata namba
Atakaa kwenu ufurahiAcha uongo mjomba kibu anamuweka nani benchi yanga pale hata benchi Akai
Hilo likongo halijui mpira kazi kukimbia kama mbwa huku linaangalia chini🤣🤣🤣🤣🤣🤣Atakaa kwenu ufurahi
Inasikitisha kuona wabongo wanamsifia mkongo asiejua kituHilo likongo halijui mpira kazi kukimbia kama mbwa huku linaangalia chini🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu mkongo hamna kitu kabisa nashangaa mambumbu wanamlamba miguu aongeze mkatabaInasikitisha kuona wabongo wanamsifia mkongo asiejua kitu
Sawa kaa nae chumbani ujue mpira wake ukojeHilo likongo halijui mpira kazi kukimbia kama mbwa huku linaangalia chini🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sawa nimekusikia mke wa kibu maana naona unamtetea mumeoSawa kaa nae chumbani ujue mpira wake ukoje
Una mimba wewe
Sasa ndugu yangu una mlaumu nani?Nilicheka sana, Baada ya taarifa za kibu Denis kuwagomea makolo kusaini mkataba mpya kisha baadae wakala wake akaingiza siasa za kwamba tapeli hilo la söka linatakiwa na mabingwa wa nchi, Yanga sc!
Kibu Denis hana thamani ya milioni 300 wala mshahara wa laki 9 kwa mwezi achilia mbali mil 15 anayotaka, huyu ni mchezaji wa kawaida sana tena zaidi ya sana, ebu fikiria huyu ni mchezaji anayecheza nafasi ya ushambuliaji ila cha ajabu msimu mzima 2023/2024 amecheza mechi 20 za ligi na kufunga goli moja na assist mbili. Unasumbuliwaje kichwa na mchezaji wa namna hii?. Huyu Kibu Denis ni zaidi ya bumunda, limejaa lakini ndani upepo. Aina yake ya mpira ni sawa na safari za chizi kwenda umbali mrefu kisha kurudi na makopo.
Ila ukiuliza pale umbumbumbuni kwa nini wanaliongezea mkataba hilo chakubanga, utasikia jamaa anajituma sanaa!!, hivi ni nani aliwaroga hawa kolozidad? Wapi katika hii dunia kuna tuzo ya mchezaji anejituma, yaan mtu anacheza nafasi ya ushambuliaji, ila mechi 18 mfululizo hana assist wala goli la kusingiziwa anawaendesha kiasi hicho? Vipi mngekuwa na mtu kama pacome au maxi au aziz ki, si mngekuwa mnatembea mnajamba jamba hovyo kwa shibe ya furaha.. Hovyo kabisa
Mimi ni mdau wa soka kwa miaka mingi sana. Wachezaji wa enzi za Bekham nawafahamu sana.FUTA hata mavi uliyoyaandika hapa hivi unamjua Beckham vizuri we boya
Mimi ni mdau wa soka kwa miaka mingi sana. Wachezaji wa enzi za Bekham nawafahamu sana.
Kwahiyo unataka kusema Beckham hastahili gharama hivi wewe ni Mtu wa mpira kweliMimi ni mdau wa soka kwa miaka mingi sana. Wachezaji wa enzi za Bekham nawafahamu sana.
Mimi ni mdau wa soka kwa miaka mingi sana. Wachezaji wa enzi za Bekham nawafahamu sana.
Unaumwa ww,nimekuambia kibu anapata nafasi yanga acha kukaza fuvuUmedata wewe sio bure unajua mashabiki wa simba akili zimeruka kutokana na vichapo vya msimu huu Sasa huyo mtanzania feki anacheza namba ya nani🤣🤣🤣🤣🤣
Habari za kiswahili swahili hzi eti riziki.......hii biashara mkuu watu wanaangalia output hayo mambo ya riziki kaa nayo wewe.Ni wakati wake na riziki imeelekea upande wake ikiwa atapewa kiasi hicho naamini atamshukuru Mungu kwa Kipaji chake alichopewa
Usiwe na husda mkuu!
Upo sahihi.Njoo usainiwe wewe.Nilicheka sana, Baada ya taarifa za kibu Denis kuwagomea makolo kusaini mkataba mpya kisha baadae wakala wake akaingiza siasa za kwamba tapeli hilo la söka linatakiwa na mabingwa wa nchi, Yanga sc!
Kibu Denis hana thamani ya milioni 300 wala mshahara wa laki 9 kwa mwezi achilia mbali mil 15 anayotaka, huyu ni mchezaji wa kawaida sana tena zaidi ya sana, ebu fikiria huyu ni mchezaji anayecheza nafasi ya ushambuliaji ila cha ajabu msimu mzima 2023/2024 amecheza mechi 20 za ligi na kufunga goli moja na assist mbili. Unasumbuliwaje kichwa na mchezaji wa namna hii?. Huyu Kibu Denis ni zaidi ya bumunda, limejaa lakini ndani upepo. Aina yake ya mpira ni sawa na safari za chizi kwenda umbali mrefu kisha kurudi na makopo.
Ila ukiuliza pale umbumbumbuni kwa nini wanaliongezea mkataba hilo chakubanga, utasikia jamaa anajituma sanaa!!, hivi ni nani aliwaroga hawa kolozidad? Wapi katika hii dunia kuna tuzo ya mchezaji anejituma, yaan mtu anacheza nafasi ya ushambuliaji, ila mechi 18 mfululizo hana assist wala goli la kusingiziwa anawaendesha kiasi hicho? Vipi mngekuwa na mtu kama pacome au maxi au aziz ki, si mngekuwa mnatembea mnajamba jamba hovyo kwa shibe ya furaha.. Hovyo kabisa
SIYO UTANI WEWE NI MWEHU KWELI.Nilicheka sana, Baada ya taarifa za kibu Denis kuwagomea makolo kusaini mkataba mpya kisha baadae wakala wake akaingiza siasa za kwamba tapeli hilo la söka linatakiwa na mabingwa wa nchi, Yanga sc!
Kibu Denis hana thamani ya milioni 300 wala mshahara wa laki 9 kwa mwezi achilia mbali mil 15 anayotaka, huyu ni mchezaji wa kawaida sana tena zaidi ya sana, ebu fikiria huyu ni mchezaji anayecheza nafasi ya ushambuliaji ila cha ajabu msimu mzima 2023/2024 amecheza mechi 20 za ligi na kufunga goli moja na assist mbili. Unasumbuliwaje kichwa na mchezaji wa namna hii?. Huyu Kibu Denis ni zaidi ya bumunda, limejaa lakini ndani upepo. Aina yake ya mpira ni sawa na safari za chizi kwenda umbali mrefu kisha kurudi na makopo.
Ila ukiuliza pale umbumbumbuni kwa nini wanaliongezea mkataba hilo chakubanga, utasikia jamaa anajituma sanaa!!, hivi ni nani aliwaroga hawa kolozidad? Wapi katika hii dunia kuna tuzo ya mchezaji anejituma, yaan mtu anacheza nafasi ya ushambuliaji, ila mechi 18 mfululizo hana assist wala goli la kusingiziwa anawaendesha kiasi hicho? Vipi mngekuwa na mtu kama pacome au maxi au aziz ki, si mngekuwa mnatembea mnajamba jamba hovyo kwa shibe ya furaha.. Hovyo kabisa