MAJINI VITENGE FC MNA SHIDA SANAMakolo yameshasahau! [emoji706]
Wacha upumbavu.Shoboka tena nami nikuripoti upewe BAN nyingine sawa?
Shule shule shule. Hakuna mwajiri anayeajiri mhuni, waliomfundisha huu ujinga wamemharibia sana atasugua bench hadi 2026 na CV ndiyo imeshachafuka.Ila kaonyesha dharau kweli...hajui kuwa maboss wote huajiri mtu mtiifu na mwaminifu...kawa Kama mtu asiyejua anachokitaka
Wanywa supu tutawauzia kwa bei ya kifamilia watoe $ 1,000,000. tu wachukue wakahangaike naye.Sasa wanasimba mnasemaje tuwauzie uto au tumweke benchi msimu mzima...?
Kabisa kabisaShule shule shule. Hakuna mwajiri anayeajiri mhuni, waliomfundisha huu ujinga wamemharibia sana atasugua bench hadi 2026 na CV ndiyo imeshachafuka.
Unadhani amebakiza miaka mingapi kwa kiwango chake kuendelea kuwa bora?Na Kiwango chake pia Kikishuka kabisa itakuwa bado ni Poa tu Kwako?
Safari yake ilikuwa kwenda Utopoloni. Tunamshauri asubiri baada ya miaka miwili kama Yanga haiwezi kumlilia bil 2.7. Wakiweza wamchukue peupe asubuhi na mapema.Sijapenda mkuu kuwa na tabia ya roho ya korosho. Kibu akifanikiwa akiwa huko Norway sifa ni kwa simba.
Huo Upumbavu Wewe umekutoka lini?Wacha upumbavu.
Apelekwe timu ya Simba ya wanawake akawe mfua jezi.Baada ya Klabu hiyo ya Kristiansund kutuma Maombi yao ya Kumnunua Simba SC wakaambiwa kuwa Wasithubutu na wala Wasipoteze muda Wao Kumnunua kwani bado ana Mkataba na Simba SC.
Kusikia hivyo haraka sana Klabu hiyo ikamwambia Kibu Denis imesitisha Nia ya Kumnunua hivyo arejee Kwanza Simba SC. Hivi naandika huu Uzi Kibu Denis ni ama ameshatua nchini au ndani ya Saa chache tu leo anatua JNIA.
Safi sana Uongozi wa Simba SC kwa Kumbania na nashauri mpigisheni Benchi hadi ashike Adabu liwe Fundisho Oky?
Shoboka tena nami nikuripoti upewe BAN nyingine sawa?
weww endelea kunishobokea nitakupa dawa niliyokupa sawa?Shoboka tena nami nikuripoti upewe BAN nyingine sawa?
Ally Kamwe amesema Kibu atatambulishwa hapo nyumamwiko tarehe 4Sijapenda mkuu kuwa na tabia ya roho ya korosho. Kibu akifanikiwa akiwa huko Norway sifa ni kwa simba.
Naona tayari kibuyu kimeliaShoboka tena nami nikuripoti upewe BAN nyingine sawa?
Mapema tu Mkuu na nilimuonya tokea Jana na Leo pia, ila akadhani Natania. Nimeshasema na kila Siku nasema hapa JamiiForums kuwa kama unajijua kabisa HUMPENDI GENTAMYCINE na wala HUVUTIWI na MADA zake pamoja na UWASILISHAJI wake basi acha kupoteza muda wako ama KUMSOMA au KUFUNGUA MADA zake au hata tu KUCHANGIA na waache wale WANAOMUELEWA na KUMPENDA wawe nae lakini bado MIJUHA haisikii. Siku hizi nimeamua na kwa Heshima pia ya hili Jamvi Watu wote wananiofanyia UPUUZI kama wa huyo wala sitokuwa NAWAJIBU hovyo kama ambavyo wamezoea na wanataka ila haraka sana nitakuwa NAWARIPOTI ili wachezee BAN hadi watakapojua namna ya KUHESHIMIANA hapa JamiiForums.Naona tayari kibuyu kimelia