Kibu kuisumbua Simba, Taswira mbaya kwa timu

Kibu kuisumbua Simba, Taswira mbaya kwa timu

Sioni usumbufu anaouleta Kibu. Simba ipo inaendelea na ratiba zake.
Hapana. Endapo mchezaji atakuwa kinyume na ratiba au taratibu za timu, tafsiri yake ni nini?

Hii ya kupuuza haya madogo, ndio njia rahisi ya kutengeneza janga katika timu.
 
Ndiyo Mkuu. Kibu ni mali ya Simba. Club pamoja na wakala wake wamethibisha hili.
Kweli? Ok, labda walikubaliana makubaliano ya mdomo ila mkataba bado au inawezekana nina taarifa potofu. Alisain mkataba wa miaka mingapi?

Anyway hakuna tatizo, mkataba lazima una kipengele cha kutokea iwapo ataamua kuuvunja. Simba haina cha kupoteza.
 
Kwa mujibu wa meneja wake Kibu kasaini na amesha ingiziwa mzigo wake wote.

Tukisemaga bongo kuna uhuni mwingi sana kwenye usajili wachezaji wana jiamulia tu,juzi Fei,jana Dube leo Kibu.

Zamu yenu safari hii,za andani anasema anaenda Norway.Nahisi anaweza kufanya kama alicho fanya Fei kwa Yanga,anawawekea mzigo wenu then yy mwenyewe anajitangazia yupo free. Kipindi kile 5imba mliona sawa kwenye issue ya Fei kwa sababu ni Yanga,ila kuna uwezekano Kibu akafanya ujinga alio ufanya Fei.

Ligi yetu ina usela mwingi sana.
 
Nilishanga alipogomea kucheza timu ya taifa akadai amechoka huku wale waliomsaidia apate uraia wako kimya.
Huyu ndio anawafanya watu wakatae uraia pacha.
Inasikitisha sana Mkuu. Sometimes huwa nafikiri labda zile kelele za kung'ang'aniwa na hivi vilabu vya Kariakoo vimmpa kichwa anajiona ni Leo Messi. Hii ni fedheha sana.
 
Kweli? Ok, labda walikubaliana makubaliano ya mdomo ila mkataba bado au inawezekana nina taarifa potofu. Alisain mkataba wa miaka mingapi?

Anyway hakuna tatizo, mkataba lazima una kipengele cha kutokea iwapo ataamua kuuvunja. Simba haina cha kupoteza.
Taarifa kutoka kwa Simba wakati huu.
 

Attachments

  • GTL_2STWoAEFLKy.jpeg
    GTL_2STWoAEFLKy.jpeg
    1.2 MB · Views: 2
Update mda huu Kibu anaelekea Norway kuna watu wamepost ushahidi wa picha,akiwa Airport jioni hii ya leo.

Hili picha na liona litakuwa kama la Fei......
 
Update mda huu Kibu anaelekea Norway kuna watu wamepost ushahidi wa picha,akiwa Airport jioni hii ya leo.

Hili picha na liona litakuwa kama la Fei......
Fei aliomba kuvunja mkataba, Kibu hajasema popote kuwa anataka kuvunja mkataba. Akisema Simba haina sababu ya kumpa masharti nje ya exit clause ya mkataba aliousani kama kweli kasaini.
 
Fei aliomba kuvunja mkataba, Kibu hajasema popote kuwa anataka kuvunja mkataba. Akisema Simba haina sababu ya kumpa masharti nje ya exit clause ya mkataba aliousani kama kweli kasaini.
Tatizo lako huangalii trend juzi tu kulikiwa na tetesi jamaa kapata timu Norway, leo nenda kwenye YouTube channel ya Millard Ayo kapost picha anaelekea Norway.

View: https://m.youtube.com/watch?v=2g66y4-CEsk

Endapo huko aendapo akitoboa, basi atafanya kama lichofanya Fei ni swala mda tuu,sizani kama atafanya mazungumzo na nyie kwa kukaa kwenye meza moja,mtaukuta mzigo wenu Bank,halafu yy mwenyewe atawatangazia yupo huru.

Just wait.
 
Tatizo lako huangalii trend juzi tu kulikiwa na tetesi jamaa kapata timu Norway, leo nenda kwenye YouTube channel ya Millard Ayo kapost picha anaelekea Norway.

View: https://m.youtube.com/watch?v=2g66y4-CEsk

Endapo huko aendapo akitoboa, basi atafanya kama lichofanya Fei ni swala mda tuu,sizani kama atafanya mazungumzo na nyie kwa kukaa kwenye meza moja.

Just wait.

Tatizo lako huangalii trend juzi tu kulikiwa na tetesi jamaa kapata timu Norway, leo nenda kwenye YouTube channel ya Millard Ayo kapost picha anaelekea Norway.

View: https://m.youtube.com/watch?v=2g66y4-CEsk

Endapo huko aendapo akitoboa, basi atafanya kama lichofanya Fei ni swala mda tuu,sizani kama atafanya mazungumzo na nyie kwa kukaa kwenye meza moja,mtaukuta mzigo wenu Bank,halafu yy mwenyewe atawatangazia yupo huru.

Just wait.

Mpira ni Maslahi, Kibu aende popote yeye afate exit clause tu ya mkataba aliopewa akasain(Iwapo amesain) inasemaje. Au akirudi Simba impe adhabu kwa utovu wa nidhamu.

Simba haitakiwi kung'ang'ania chochote, wafanye kama Azam walivyofanya kwa Dube. Unataka kuondoka? Mkataba unasemaje? Lipa, ONDOKA.
 
Mpira ni Maslahi, Kibu aende popote yeye afate exit clause tu ya mkataba aliopewa akasain(Iwapo amesain) inasemaje. Na akirudi Simba impe adhabu kwa utovu wa nidhamu.
Mpira maslahi na maslahi sio lazima yawe kwa mchezaji hata club inatakiwa ipate maslahi kutoka kwa huyo mchezaji.

Kibu kwa mujibu wa meneja wake ktk intvw aliyo fanya Wasafi kapewa hela yake yote na mkataba amesaini.

Kwani Fei alifuata exit clause si alijiamulia,hata Kibu atajiamulia,kwa kuwarudishia hela mliyompa,sasa sijajua kwa Management ya 5imba itakubali au itakataa,sioni mkikaa mezani kabisa.
 
Mpira maslahi na maslahi sio lazima yawe kwa mchezaji hata club inatakiwa ipate maslahi kutoka kwa huyo mchezaji.

Kibu kwa mujibu wa meneja wake ktk intvw aliyo fanya WhatsApp, kapewa hela yake yote na mkataba amesaini.

Kwani Fei alifuata exit clause alijiamulia,hata Kibu atajiamulia,kwa kuwarudishia hela mliyompa,sasa sijajua kwa Management ya 5imba itakubali au itakataa,sioni mkikaa mezani kabisa.
Ndo maana mikataba ina exit clause ili kulinda maslahi ya Club. Ukitaka kutoka lipia kiasi gani kama gharama. Hakuna mkataba usiovunjika.
 
Huyo mshamba wa sjui kigoma arudi aka lime machikichi tu...sometimes ni vile tu uongozi haupo stable, management imekaa kiree sana
 
Huyo mshamba wa sjui kigoma arudi aka lime machikichi tu...sometimes ni vile tu uongozi haupo stable, management imekaa kiree sana
Hawezi kutoroka na pesa ya Simba na akasajiliwa kwengine. Kuna mawili tu hapa.

1. Kuna hadaa kuwa kasaini mkataba.
2. Amesaini na Atafata mkataba unavyosema akitaka kuuvunja.
 
Ndo maana mikataba ina exit clause ili kulinda maslahi ya Club. Ukitaka kutoka lipia kiasi gani kama gharama. Hakuna mkataba usiovunjika.
Mkataba kuwa na Clause haina maana mchezaji eti anajiamulia.
 
Back
Top Bottom