Clause inampa hiyo nguvu ya kujiamulia as long as amefata hayo matakwa ya hiyo clause. We sema kuna ustaarabu kama uliishi na watu vizuri ni vyema kuufata. Mpira si biashara ya utumwa boss.Mkataba kuwa na Clause haina maana mchezaji eti anajiamulia.
Kitu anachopaswa kujua rank yake bado iko chini sana, so ni kama wanampa kichwa tu, soko la mchezaji kama kibu ni dogo, so akizembea atakuja kujikuta kwao kigoma😄Hawezi kutoroka na pesa ya Simba na akasajiliwa kwengine. Kuna mawili tu hapa.
1. Kuna hadaa kuwa kasaini mkataba.
2. Amesaini na Atafata mkataba unavyosema akitaka kuuvunja.
Ni maslahi yake, yeye ni mtu mzima. Kama anaondoka atupe chetu sisi tunamtakia kila la heri. Mbadala wake upo hadi unamwagika.Kitu anachopaswa kujua rank yake bado iko chini sana, so ni kama wanampa kichwa tu, soko la mchezaji kama kibu ni dogo, so akizembea atakuja kujikuta kwao kigoma😄
Labda kwa timu yenu, ila sio kwa uhuni huu unaofanyika NBC.Mchezaji anajiamulia,kesho anakurupuka anajikadilia hela ya kulipa club yake. Ila kama kwenu kwenye timu yenu mambo yanaenda hivyo sawa. Ila uliona Yanga ilivyo pambana kwa Fei na Azam ilivyo pambana kwa Dube na wote walilipwa hela kubwa kuliko ile wachezaji waliyo taka kujikadilia.Clause inampa hiyo nguvu ya kujiamulia as long as amefata hayo matakwa ya hiyo clause. Mpira si biashara ya utumwa boss.
Lilikua goli la dhahabu lile. Lilisababisha Simba irudi mchezoni, bila ya hivyo 8-0 zilikua zinawahusu.Kwa kweli Kibu siyo aina ya mchezaji wa kuisumbua Simba,mshambukiaji msimu mzima kafunga kagoli kamoja sasa wa nini huyu?
Mkimbizi tena!Kwani yuko wapi huyo mkimbizi..wanamtaka.wa nini?.
Mkuu nimesoma replies zako zote. Unaweza kuangalia mambo yalivyo bila nadharia yeyote? Maana ukiweka nadharia kwanza, basi utajikuta unatafuta namna ya ku-justify nadharia yako.Ni maslahi yake, yeye ni mtu mzima. Kama anaondoka atupe chetu sisi tunamtakia kila la heri. Mbadala wake upo hadi unamwagika.
Bora yao. Ila wahakikishe wanafuata taratibu, nje ya hapo litawatokea puani. Hatuwezi kuvumilia uhuni wa namna hii.Kibu anakwenda Yanga anatangazwa siku ya mwananchi
Nakubaliana na wewe kuwa akitaka kwenda yeye aangalie kipengele cha kuvunja mkataba wake akifate.Mkuu nimesoma replies zako zote. Unaweza kuangalia mambo yalivyo bila nadharia yeyote? Maana ukiweka nadharia kwanza, basi utajikuta unatafuta namna ya ku-justify nadharia yako.
Issue kubwa hapa sio Simba kutaka kumbakisha Kibu. Issue kubwa ni kwa kuwa ni mali halali ya Simba kwa sasa kwanini hafuati taratibu za wamiliki wake wa sasa? Hili ndio kubwa.
Ila kama itatokea anataka kuondoka Klabuni, milango iko wazi afuate taratibu tu. Tena kwa kibu ni biashara mapema kabisa. Nje ya hapo anakuwa muhuni kama wahuni wengine. Huu uhuni ndio hatuutaki pale Klabuni Mkuu.
Taratibu ni kulipia gharama za kuvunja mkataba wake mkuu zilizopo kwenye mkataba aliosain, hakuna taratibu nyingine.Bora yao. Ila wahakikishe wanafuata taratibu, nje ya hapo litawatokea puani. Hatuwezi kuvumilia uhuni wa namna hii.
Ni mpumbavu huyuNilishanga alipogomea kucheza timu ya taifa akadai amechoka huku wale waliomsaidia apate uraia wako kimya.
Huyu ndio anawafanya watu wakatae uraia pacha.
Taratibu yeyote ambayo itakuwa ni halali basi sisi tutabariki na kumtakia kila lenye kheri Mkuu. Katika pesa itakayotoka kama itakuwa mapema basi tutajaribu kuongeza kwenye deal la Mpanzu au kumboreshea mahitaji mdogo wangu Chasambi. Win-win.Taratibu ni kulipia gharama za kuvunja mkataba wake mkuu zilizopo kwenye mkataba aliosain, hakuna taratibu nyingine.
Kabisa mkuu. Alipe AENDE kokote hata kwa kina vyura.Taratibu yeyote ambayo itakuwa ni halali basi sisi tutabariki na kumtakia kila lenye kheri Mkuu. Katika pesa itakayotoka kama itakuwa mapema basi tutajaribu kuongeza kwenye deal la Mpanzu au kumboreshea mahitaji mdogo wangu Chasambi. Win-win.
Wakala wake amesema amesaini na ametimiziwa mahitaji yote aliyoyataka na ni mchezaji halali wa Simba.Kumbe hajasaini..ndo maana sijamuona kwa wale waliotambulishwa...
Simba waungwana watakubali tu.Mpira maslahi na maslahi sio lazima yawe kwa mchezaji hata club inatakiwa ipate maslahi kutoka kwa huyo mchezaji.
Kibu kwa mujibu wa meneja wake ktk intvw aliyo fanya Wasafi kapewa hela yake yote na mkataba amesaini.
Kwani Fei alifuata exit clause si alijiamulia,hata Kibu atajiamulia,kwa kuwarudishia hela mliyompa,sasa sijajua kwa Management ya 5imba itakubali au itakataa,sioni mkikaa mezani kabisa.
Ndio tuna wasubiri.Simba waungwana watakubali tu.