Hiyo miaka, minne sijui ndani ya V Eighty anafikiri labda kinachoendelea kwa sasa ni ndoto tu... Akiamka ataendelea na yale maisha.Hicho kipindi chake anachokiita 'shule ya siasa' ukitazama kwa makini utagundua amekianzisha mahususi kumchamba Mama Cheif na kumfundisha kazi.
Kwani anakosa ganiHivi kikatiba sami ahawezi mtoa/mvua ubunge
Nimeuliza kutolewa au kubadilishiwa majukukumu si hadi uwe na kosa?!Kwani anakosa gani
Abdalah Posi alivuliwa enzi za Magu akapewa UbaloziHivi kikatiba sami ahawezi mtoa/mvua ubunge
Kila mtu anavutia kwake...paleSiasa za CCM sasa ni kutishana na kukaripiana.
Si ruhusa ndani ya CCM kuwa mkweli
greenwoods🖐Ungekuwa unakosoa vitu au hoja anazoziongelea tungekuona wa maana kuliko hivi unavyokuja kuongea ugoro.