Mtu kakakaa kwenye siasa miaka minne tu anaanzisha darasa la siasa na uongozi!!!Hiyo paragraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa
Anyway but me namkubali Polepole anaongea ukweli na ana element za umagu
So una maana Slowslow na yeye ni mjima?Hiyo paragraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa
Anyway but me namkubali Polepole anaongea ukweli na ana element za umagu
Jinga sana!!na kinachomsumbua sasa ni njaa tu, kwani kipindi cha meko, alikuwa anaishi, peponi sasa ghafla tu , unaanza kuishi kwa kuunga unga lazima ubongo ucheze kidogo!!!unafikiria hata bashiru huko aliko yupo sawa kweli?!!!Mimi sio ccm ila wafanye hivyo huyu fa..la katusaliti katiba mpya
Kupakwa mate wapiKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Dawa hapa aunge juhudi mkono juhudi za madai ya katiba mpya.Hiyo paragraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa
Anyway but me namkubali Polepole anaongea ukweli na ana element za umagu
Yule ni mshamba tu,alikuwa hana hata suti hajui kuvaa,leo kajua hata skrabu analeta ukhanithi.
Atanyooshwa tu.
[/QUO
Viieiti zinampita kama hazimjui wiki hizi,atulie mi kipindi cha mpito tu.😆
Mwacheni kuzimziba mdomo ,ni haki yake ,mama kasema acha watu waongee yaliyoko moyoni mwao,Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Umelogeka wewe,kwa hiyo ulitaka nani aatKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Kwa hiyo huo mwisho wake unao wewe au chama chake?Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Yule dawa yake wamtimue CCM.Hivi kikatiba sami ahawezi mtoa/mvua ubunge
Ubunge Viti Maalum kapewa na Mama baada ya kumtoa ""Umanara""" wa CCMKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Wao wenzao wakti wanaongea waliwaambia wanawashwawashwaAcheni watu wongee. Hawajawaomba hera. After all pesa ni yetu wananchi.
sio shule ya siasa ni shule ya uongoziHicho kipindi chake anachokiita 'shule ya siasa' ukitazama kwa makini utagundua amekianzisha mahususi kwa ajili ya kumchamba Samia na kumfundisha kazi.
potelea mbali, ila hamna shule pale.sio shule ya siasa ni shule ya uongozi
Mnajionaga akili kubwa kumbe limbukeni tuu na kujifanya ujuaji mwingi mbele giza.Polepole hana moral authority ya kutoa hoja yoyote ya maana.
UFISADI unatawaliwa na UONGOSiasa za CCM sasa ni kutishana na kukaripiana.
Si ruhusa ndani ya CCM kuwa mkweli