Kiburi cha Polepole kimefika mwisho

Hiyo paragraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa

Anyway but me namkubali Polepole anaongea ukweli na ana element za umagu
Mtu kakakaa kwenye siasa miaka minne tu anaanzisha darasa la siasa na uongozi!!!

Hii nchi ina washenzi wengi sana.
 
Sasa polepole anakosa gani? Mbona uchambuzi anaofanya ni mzuri tu,? Unataka afanye kama wewe unaweka uzu unajificha?
 
Mheshimiwa Mbunge ajue kutesa ni kwa zamu,awe mpole atafikiriwa siku za usoni, bado kijana.Aache league na Mamlaka iliyopo madarakani kwa wakati uliopo.Huo ndiyo ukomavu wa kisiasa.
 
Hiyo paragraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa

Anyway but me namkubali Polepole anaongea ukweli na ana element za umagu
So una maana Slowslow na yeye ni mjima?
 
Mimi sio ccm ila wafanye hivyo huyu fa..la katusaliti katiba mpya
Jinga sana!!na kinachomsumbua sasa ni njaa tu, kwani kipindi cha meko, alikuwa anaishi, peponi sasa ghafla tu , unaanza kuishi kwa kuunga unga lazima ubongo ucheze kidogo!!!unafikiria hata bashiru huko aliko yupo sawa kweli?!!!
 
Yule ni mshamba tu,alikuwa hana hata suti hajui kuvaa,leo kajua hata skrabu analeta ukhanithi.
Atanyooshwa tu.
 
Kupakwa mate wapi
 
Hiyo paragraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa

Anyway but me namkubali Polepole anaongea ukweli na ana element za umagu
Dawa hapa aunge juhudi mkono juhudi za madai ya katiba mpya.
 
Yule ni mshamba tu,alikuwa hana hata suti hajui kuvaa,leo kajua hata skrabu analeta ukhanithi.
Atanyooshwa tu.
[/QUO
Viieiti zinampita kama hazimjui wiki hizi,atulie mi kipindi cha mpito tu.😆
 
Mwacheni kuzimziba mdomo ,ni haki yake ,mama kasema acha watu waongee yaliyoko moyoni mwao,
After all CCM siyo mama yake mzazi ,kama vipi wachukue kadi yao ,sio kumsimanga na kumnyamazisha
 
Umelogeka wewe,kwa hiyo ulitaka nani aat Kwa hiyo huo mwisho wake unao wewe au chama chake?
Na wewe ni nani mpaka umpe mtu mwingine misho wake?
 
Acheni watu wongee. Hawajawaomba hera. After all pesa ni yetu wananchi.
 
U
Ubunge Viti Maalum kapewa na Mama baada ya kumtoa ""Umanara""" wa CCM
 
Anajifanya anajua sana huyu dogo ila hakuna lolote,
 
Siasa za CCM sasa ni kutishana na kukaripiana.

Si ruhusa ndani ya CCM kuwa mkweli
UFISADI unatawaliwa na UONGO
UZARENDO unatawaliwa na UKWELI
hivyo ni wakati wa watz kuchagua tuongozwe na uongo au ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…