a hope
Senior Member
- Oct 23, 2022
- 163
- 342
sio kila kitu ni kwaajili ya kila mtu,huu ni ukweli ambao ni mgumu kuukubaliNime imagine mtu hadi anafikianhatua ya kuiba mtoto, amehangaika kiasi gani
There is happiness,but not for every one
There is wealth,but not for every one
There is love,but not for every one
Hivo hivo kwa watoto pia
Watu wafanya abortions daily,na bado wanapata watoto tena, lakini wengine hata kitu kinachoitwa pregnancy hajawahi kukisikia,
Only death is there for every one