sio kila kitu ni kwaajili ya kila mtu,huu ni ukweli ambao ni mgumu kuukubaliNime imagine mtu hadi anafikianhatua ya kuiba mtoto, amehangaika kiasi gani
kiukweli mda mwingine unatia hurumaNime imagine mtu hadi anafikianhatua ya kuiba mtoto, amehangaika kiasi gani
Pesa imewatoka wahusika sio bureeHongera kwa mama kwa kumpata mtoto wako, lakini hongera na pongezi nyingi sana kwa jeshi letu la police kwa kufanikisha kumpata mtoto huyo. Hii inadhihirisha kuwa jeshi letu lina weledi mkubwa sana katika mambo ya intelijensia. Imagine, mtoto kaibwa Bukoba kapelekwa Dar na baadaye karudishwa Dodoma; kote huko wametrack na kumkamatia mwizi Dodoma. Hakika mnastahili kongole na shukrani za kipekee kwa weledi huu mliouonyesha!
nguvu ya kiroho vs nguvu ya kimwili ipi inafanya kazi zaidi?kuibwa alipelekwa kata ya Kamachumu Wilaya ya Muleba kwa mganga wa jadi ili afanyiwe dawa asimsumbue aliyemchukua
miaka kama nane iliyopita hukohuko kagera kuna mwanamke hakupata watoto kwenye ndoa yake ikafika kipindi akafanya ya kufanya kichanga kikachukuliwa dar to bukoba,kwakuwa mda wote alionekana ana mimba basi akatoka kama miezi kwamba ameenda kujifungua kweli akarudi na katoto ka kike akakalea mpaka kanakaribia kuanza chekechea ndo mama anakamatwa ndo watu kusanuka kumbe bi dada aliiba mtoto.
Ilivyokuwa wazazi halisi wa yule mtoto walishindwa kuendelea na kesi kutokana na hali waliyomkuta nayo binti yao unaambiwa alikuwa anamtunza kama malikia mpaka huruma ikawaingia na kuamua kuchukua binti yao bila kuchukua hatua yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi kama Hii ilitokea South Africa. Kichanga wa kike aliyeibwa hospitalini akaja kupatikana miaka 17 baadae akwa Binti mkubwa na hiyo ni baada ya kuwa na urafiki na binti mwingine mwanafunzi mwenzake aliyekuwa amefanana naye sana. Kumbe ni ndugu yake wa damu kabisa.miaka kama nane iliyopita hukohuko kagera kuna mwanamke hakupata watoto kwenye ndoa yake ikafika kipindi akafanya ya kufanya kichanga kikachukuliwa dar to bukoba,kwakuwa mda wote alionekana ana mimba basi akatoka kama miezi kwamba ameenda kujifungua kweli akarudi na katoto ka kike akakalea mpaka kanakaribia kuanza chekechea ndo mama anakamatwa ndo watu kusanuka kumbe bi dada aliiba mtoto.
Ilivyokuwa wazazi halisi wa yule mtoto walishindwa kuendelea na kesi kutokana na hali waliyomkuta nayo binti yao unaambiwa alikuwa anamtunza kama malikia mpaka huruma ikawaingia na kuamua kuchukua binti yao bila kuchukua hatua yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi inakua hivyo, yuko bwana mmoja mshika dini mzuri (Msabato) sana. Huyu bwana hadi navyoandika hapa yuko na miaka 48 hajabarikiwa kupata mtoto.Kuna mambo yanahuzunisha na kusikitisha sana. Usikute mhusika, ana maisha mazuri kabisa! Ila mwisho wa siku hana mtoto.
Hapo Sasa!yatima wamejaa kibao humo mahospitaliKama mtu anaweza kuiba, kwa nini asifikiri kuasili (adopt).
Usikute sasa hivi mtoto amechakaa anataman arudi kwa mama wa bandia[emoji1787][emoji1787]Daaaah, nimeumia sana
Duh?[emoji41]miaka kama nane iliyopita hukohuko kagera kuna mwanamke hakupata watoto kwenye ndoa yake ikafika kipindi akafanya ya kufanya kichanga kikachukuliwa dar to bukoba,kwakuwa mda wote alionekana ana mimba basi akatoka kama miezi kwamba ameenda kujifungua kweli akarudi na katoto ka kike akakalea mpaka kanakaribia kuanza chekechea ndo mama anakamatwa ndo watu kusanuka kumbe bi dada aliiba mtoto.
Ilivyokuwa wazazi halisi wa yule mtoto walishindwa kuendelea na kesi kutokana na hali waliyomkuta nayo binti yao unaambiwa alikuwa anamtunza kama malikia mpaka huruma ikawaingia na kuamua kuchukua binti yao bila kuchukua hatua yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
DaaahUsikute sasa hivi mtoto amechakaa anataman arudi kwa mama wa bandia[emoji1787][emoji1787]
Maneno magumu sana, nimevuta pumzi kwa shida.sio kila kitu ni kwaajili ya kila mtu,huu ni ukweli ambao ni mgumu kuukubali
There is happiness,but not for every one
There is wealth,but not for every one
There is love,but not for every one
Hivo hivo kwa watoto pia
Watu wafanya abortions daily,na bado wanapata watoto tena, lakini wengine hata kitu kinachoitwa pregnancy hajawahi kukisikia,
Only death is there for every one