[emoji23] wamechanganywa na uo umini labda walitegemea angelivaa kanzuLabda walikua wanakwenda clinic.
love thé love or hâte thé love.....
Ndio maana nimesema huko uzungu wanao iga huko ulaya, ninamaanisha hata huko kuna wapumbavu, na sijasemea uswazi wala ushuani maana hawa wanajifanya ni wa mbele lakini wanakosea..Hata huku uswahilini wanajua maana ya uzazi, wengi tumelelewa na tumekua vyema tu ndugu.
Kama umeshawahi kuzaa au kuishi na mzazi utaelewa kwanini faiza alitoka na mtoto wala si kumtembeza mtaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawaa[emoji2]Nsio maana nimesema huko uzungu wanao iga huko ulaya, ninamaanisha hata huko kuna wapumbavu, na sijasemea uswazi wala ushuani maana hawa wanajifanya ni wa mbele lakini wanakosea..
Jumatano ni siku ya chajo kwa watoto pale aghakhan na faiza alikwenda huko.
Mlitaka akae nae ndani mpaka mila zenu zitakaporuhusu ndio atoke ampeleke?
Au angeenda yeye pekee kwa niaba ya mtoto??
Au ninyi wenzetu baada ya kujifungua huwa mnafuatwa ndani na madaktari kila chanjo na mnapokua na tatizo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Magauni gani yamebadilishwa hapo??kwa kwenda kiliniki hadi kubadili magauni?
Na Chanjo atapewa saa ngapi akikaa ndani tu?Zamani wakisema ukijifungua unakuwa na harufu Fulani ambayo inapendwa na majini
hivyo unatakiwa utulie walau miezi mitatu kabla ya kuanza kuzunguka, na ikishindikana
mtoto walau awe ndani ili ufanye kazi ndogo ndogo hapo ulipo.
by the way, mbona huyo mtoto kichwa kama cha mr2sugu?
Na Chanjo atapewa saa ngapi akikaa ndani tu?
Akiwa na tatizo mtoto daktari anawafuata nyumbani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hizo picha hapo si aga khanNa Chanjo atapewa saa ngapi akikaa ndani tu?
Akiwa na tatizo mtoto daktari anawafuata nyumbani?
Sent using Jamii Forums mobile app