Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa honey_port kgbPutin siyo Saddam wala Mugabe. Hao wote unaowataja ni watoto kwa Putin.
Ana watengenezea watu wake filamu ya Maisha yao🏃🏃Huyu muigizaji abwage manyanga chini, ili ukurasa mpya ufunguliwe. Ona anasababisha watu wanaishi maisha magumu kama kipindi kile cha uviko-19!!!
Vipi kuhusu Marekani🥱Russia huwa auheshimu uhai.
Mbons sisi tulipsmbana na Idi Amin alipovamia Kagera??Huyu muigizaji abwage manyanga chini, ili ukurasa mpya ufunguliwe. Ona anasababisha watu wanaishi maisha magumu kama kipindi kile cha uviko-19!!!
........ Focus!.. ..Vipi kuhusu Marekani🥱
Putin siyo Saddam wala Mugabe. Hao wote unaowataja ni watoto kwa Putin.
we famba kweli unadhani putin ni raisi wa Tanzania.... hao unaowasema wakiingia kichwa kichwa kwa putin wananyaushwa kama majani ya mlendaHivi wale wataalam wa kumaliza michezo kimya kimya wapo wapi MOSSAD na wenzie CIA, Putin hatakiwi kua hai
Adui yupi na amekaribishwa wapi ?Shida ya Russia siyo nchi ya Ukraine, bali ni kupinga kitendo cha kumkaribisha adui.
"Famba" imetokea wapi tena kiongozi!we famba kweli unadhani putin ni raisi wa Tanzania.... hao unaowasema wakiingia kichwa kichwa kwa putin wananyaushwa kama majani ya mlenda
Alisikika mgonjwa wa afya ya akili baada kudungwa sindano ya kichwaMatako kabisa Putin
Adui yupi na amekaribishwa wapi ?
Leo hii Kenya inaiweza kuivamia Tz kwa sababu Tz inashirikiana na Russia wakati Kenya kuna Us Army base ?
Nu zaidi ya ujambazi,halafu kelele nyingiii,uhalifu dhidi ya ubinaadamu,wakati mwenyewe namba moja kwa uhalifu huo🤸