Kichapo kikali chatarajiwa Kherson mji mashuhuri Kusini mwa Ukraine

Kichapo kikali chatarajiwa Kherson mji mashuhuri Kusini mwa Ukraine

Huyu muigizaji abwage manyanga chini, ili ukurasa mpya ufunguliwe. Ona anasababisha watu wanaishi maisha magumu kama kipindi kile cha uviko-19!!!
Mbons sisi tulipsmbana na Idi Amin alipovamia Kagera??
 
Putin siyo Saddam wala Mugabe. Hao wote unaowataja ni watoto kwa Putin.

Hao achana nao, wakati mwingine utakumbana na. comments za kijinga kutoka kwa baadhi ya members, comments zao unikimbisha kisa cha Kennedy alivyo kuwa amepania kumtoa pumzi Fidel Castro bila sababu zozote za msingi, Kennedy alijaribu zaidi ya mara kumi kumtoa pumzi Fidel - sasa nini kilikuja kumtokea Kennedy baadae, alikuja kufa kifo kibaya kwa kupigwa risasi ya kichwani iliyo jazwa mercury, ukafumua sehemu kubwa ya nyuma ya kichwa chake akafa kifo kibaya hapo hapo - Castro kaendelea kubaki madarakani kwa zaidi ya miaka arobaini na ushei. Somo "husimwombee/mtakia mabaya binadamu mwenzako."
 
Hivi wale wataalam wa kumaliza michezo kimya kimya wapo wapi MOSSAD na wenzie CIA, Putin hatakiwi kua hai
we famba kweli unadhani putin ni raisi wa Tanzania.... hao unaowasema wakiingia kichwa kichwa kwa putin wananyaushwa kama majani ya mlenda
 
Adui yupi na amekaribishwa wapi ?

Leo hii Kenya inaiweza kuivamia Tz kwa sababu Tz inashirikiana na Russia wakati Kenya kuna Us Army base ?

Unapaswa kujisomea zaidi kuhusu cold war, NATO na Warsaw Pact ndiyo utaelewa ninacho maanisha.
 
Back
Top Bottom