Kichekesho cha demokrasia ya Kenya!

Kichekesho cha demokrasia ya Kenya!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
So far mahakama ya juu nchini Kenya imeshasema kuwa Uchaguzi haukufuata taratibu...na uchaguzi huo ulisimamiwa na IEBC.

sasa tunasikia kuwa IEBC ile ile iliyovurunda ndio inapewa mamlaka yaleyale ya kusimamia uchaguzi.

Je kuna uhakika gani wa Tume hiyo hiyo iliyovurunda kuwa haitavurunda tena?

UPUUZI NI KUFANYA JAMBO LILE LILE UKITEGEMEA MATOKEO TOFAUTI!!
 
So far mahakama ya juu nchini Kenya imeshasema kuwa Uchaguzi haukufuata taratibu...na uchaguzi huo ulisimamiwa na IEBC.

sasa tunasikia kuwa IEBC ile ile iliyovurunda ndio inapewa mamlaka yaleyale ya kusimamia uchaguzi.

Je kuna uhakika gani wa Tume hiyo hiyo iliyovurunda kuwa haitavurunda tena?
Acha kushangaa ya Kenya huo ni ukuda shangaa wala rambirambi wanapokaa kujadili makanikia
 
Acha kushangaa ya Kenya huo ni ukuda shangaa wala rambirambi wanapokaa kujadili makanikia
Kweli kabisa, mwambie huyo kilaza [B]jingalao[/B] ya Kenya awaachie Wakenya...sisi tunataka marejeo ya majadiliano kuhusu makanikia. Kwa ufahamisho tu wapo watu tayari wamefanikiwa kupata leseni zao za udereva wakisubiri NOAH zao kama walivyoahidiwa na dikteta uchwara.
 
Kwa taarifa nilizonazo NASA wamesema kuwa

1.Maafisa kibao wa tume ya uchaguzi watolewe na kuletwa wapya.
2.Vyama vyote vilishiriki mwanzo na sasa vishiriki.
3.Lazima kuwe na ukaguzi wa mfumo wa kuhesabu na kuwasilisha kura toka majimboni.

Bila kutimiza hayo wao hawashiriki uchaguzi
 
Kwa taarifa nilizonazo NASA wamesema kuwa

1.Maafisa kibao wa tume ya uchaguzi watolewe na kuletwa wapya.
2.Vyama vyote vilishiriki mwanzo na sasa vishiriki.
3.Lazima kuwe na ukaguzi wa mfumo wa kuhesabu na kuwasilisha kura toka majimboni.

Bila kutimiza hayo wao hawashiriki uchaguzi
Itabidi apewe jukumu la kuteua tume yeye maana hawa waliopo waliteuliwa baada ya kuandamana,sasa naona anataka wengine tena !
 
Yeye kila akishindwa watu wameharibu?
Kwa hiyo hakuna haja basi ya uchaguzi,Kenyatta atawale tu.Kama unaingia kwenye uchaguzi sheria za uchaguzi ziheshimiwe,usipozifuata lazima kuwe na remedy.Hakuna mchezo usokuwa na kanuni za kumpata mshindi na mshindwa.usipofuata kanuni basi hakuna maana ya huo mchezo,kaa nyumbani uletewe kombe.
 
Wa
Kwa hiyo hakuna haja basi ya uchaguzi,Kenyatta atawale tu.Kama unaingia kwenye uchaguzi sheria za uchaguzi ziheshimiwe,usipozifuata lazima kuwe na remedy.Hakuna mchezo usokuwa na kanuni za kumpata mshindi na mshindwa.usipofuata kanuni basi hakuna maana ya huo mchezo,kaa nyumbani uletewe kombe.
Wale wa mwanzo waliokuwepo akaandamana watolewe bila sababu wakirudishwa atakubali ?
 
So far mahakama ya juu nchini Kenya imeshasema kuwa Uchaguzi haukufuata taratibu...na uchaguzi huo ulisimamiwa na IEBC.

sasa tunasikia kuwa IEBC ile ile iliyovurunda ndio inapewa mamlaka yaleyale ya kusimamia uchaguzi.

Je kuna uhakika gani wa Tume hiyo hiyo iliyovurunda kuwa haitavurunda tena?
Kabisa
Lengo la tume litakuwa kujisafisha kwa kutoa matokeo yale yale ikiwezekana kulazimisha.
 
So far mahakama ya juu nchini Kenya imeshasema kuwa Uchaguzi haukufuata taratibu...na uchaguzi huo ulisimamiwa na IEBC.

sasa tunasikia kuwa IEBC ile ile iliyovurunda ndio inapewa mamlaka yaleyale ya kusimamia uchaguzi.

Je kuna uhakika gani wa Tume hiyo hiyo iliyovurunda kuwa haitavurunda tena?

Ifikirie Ccm kwanza kabla haujaiwaza Kenya.
 
Najaribu kufufua uzi uliodumaa mkuu hii tume si ni huru kama inayotakiwa hapa kwetu nayo pia inapokea maagizo!
 
Kweli kabisa, mwambie huyo kilaza [B]jingalao[/B] ya Kenya awaachie Wakenya...sisi tunataka marejeo ya majadiliano kuhusu makanikia. Kwa ufahamisho tu wapo watu tayari wamefanikiwa kupata leseni zao za udereva wakisubiri NOAH zao kama walivyoahidiwa na dikteta uchwara.
Babu yenu fisadi anajadili kuhusu kenya nyinyi mna ubavu gani wa kutokujadili ya Kenya?
 
Acha kushangaa ya Kenya huo ni ukuda shangaa wala rambirambi wanapokaa kujadili makanikia
Wanasema mkoa upo katika tatu za mwisho kiumaskini na bado hata pesa yao wamewapiga. Hii ndo kula na kipofu na bado ukamshika na mikono.
 
jingalao haukumbuki Zanzibar NEC uchaguzi haukuwa na dosari lakini ZEC ukasemekana kuna hitilafu licha ya chaguzi zote kufanyika siku moja na kuzingatia taratibu zilezile?

Unakumbuka tume hiyo hiyo ya mzee Jeycha iliyofuta matokeo kwa kuwepo kasoro ndio hiyohiyo ilisimamia uchaguzi wa marudio bila kubadili chochote ZEC?
 
So far mahakama ya juu nchini Kenya imeshasema kuwa Uchaguzi haukufuata taratibu...na uchaguzi huo ulisimamiwa na IEBC.

sasa tunasikia kuwa IEBC ile ile iliyovurunda ndio inapewa mamlaka yaleyale ya kusimamia uchaguzi.

Je kuna uhakika gani wa Tume hiyo hiyo iliyovurunda kuwa haitavurunda tena?
Lumumba muwe na kumbukumbu, mbona haya maswali hamukuuliza Zanzibar?

ACHA nikae KIMYA...!
 
Back
Top Bottom