kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Mjadala ni tangu jana kutoka kwa droo ya Caf ,
washabiki maandazi wa hizo timu mbili mbeleko fc za kariakoo wacha nizitaje utopolo na makolo.
Wanashangilia eti kwa kuwatizama wapinzani wao tayari wameshapita nasema shenzi tena hawana akili hizo timu zao kupita makundi si kawaida je mmeshawahi kufika nusu fainal?
Jibu hapana sasa wanashangilia nini kama si undezi,
Watakuja na hoja ya kifala washawahi cheza fainali ya shirikisho bado ni upuuzi chezeni nusu fainali ya klabu bingwa,
Kwa kuwa washabiki maandazi na wachambuzi wa supu wanaongea sana hizi timu mbili zote zitaishia makundi tuone hiyo midomo mirefu kama panya buku wa dar es salaam nyambafu!
washabiki maandazi wa hizo timu mbili mbeleko fc za kariakoo wacha nizitaje utopolo na makolo.
Wanashangilia eti kwa kuwatizama wapinzani wao tayari wameshapita nasema shenzi tena hawana akili hizo timu zao kupita makundi si kawaida je mmeshawahi kufika nusu fainal?
Jibu hapana sasa wanashangilia nini kama si undezi,
Watakuja na hoja ya kifala washawahi cheza fainali ya shirikisho bado ni upuuzi chezeni nusu fainali ya klabu bingwa,
Kwa kuwa washabiki maandazi na wachambuzi wa supu wanaongea sana hizi timu mbili zote zitaishia makundi tuone hiyo midomo mirefu kama panya buku wa dar es salaam nyambafu!