Kichekesho cha karne: Ibada ya kumuingiza Mr. Nice kwenye U Freemason

Hata hivyo kuna kitu serious kinachoendelea katika hayo “maigizo”!
 
Guts za Mr.Nice kuamua kufanya hilo igizo tu tayari ni mtego...
 
Niliisoma free mason (club) kwenye kitabu cha kijitabu cha Sir chande shujaa katika africa niliisoma ni jamii nzuri kiasi kwamba unaweza shawishika kujiunga nayo. Nawaona mason kuwa ni watu watulivu sana kama Lowasa wasio jibu kuchafuliwa kwao na mijitu ilivyojaa ujinga wanatumia nafasi hii kuiframe mason wanavyoweza.
 
Hata hivyo kuna kitu serious kinachoendelea katika hayo “maigizo”!
Nothing serious zaidi ya maigizo na kujiandaa kutapeli watu wajinga na wapumbavu
 
Hata hivyo kuna kitu serious kinachoendelea katika hayo “maigizo”!
Nothing serious zaidi ya maigizo na kujiandaa kutapeli watu wajinga na wapumbavu.. Hata ramli haiwi fupi kiasi hicho[emoji3]
 
Hakuna mikosi. Mikosi ni huo ujinga wako wa kunyang’anywa pesa zako ili uondolewe mikosi. Wajinga ndio waliwao! Hizo pesa nunulia watoto vitabu wasome waondoe ujinga.
 
Wote hao wajinga sana..
 
du!!!!!!,,,,,,,,,,,,,noma sana!!
 
Mr nice hapo kafanya kama litangazo
Kapewa laki kadhaa zake kala kona
[emoji1]

Ova
 
Wacha wajinga wapigwe tena sana tu.
Hakuna huruma kwa majitu majinga.
Mjini hakuna mashamba ya kulima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…