Kichekesho: Uongozi wa Ali Kiba kupitia Clouds wasema ''Mvumo wa radi' kubuma youtube ni kutokana na traffic kubwa

Kichekesho: Uongozi wa Ali Kiba kupitia Clouds wasema ''Mvumo wa radi' kubuma youtube ni kutokana na traffic kubwa

hawa wasipindishe ukweli, katika views za alikiba kuna nyengine ni za robots (Fake Views) na nyingine mtu anarudia rudia ku view kwa device moja kitu ambacho youtube wamelimit ukirudia zaid view yako haiwi counted! waendelee kujidanganya tena eti wanavunja record? labda record ya maroboti.
Limit ni mara ngapi ??
 
Kama tunavyojua wengi kwamba wimbo wa Ali Kiba kwa siku mbili views za Youtube zinaenda kwa mwendo wa kobe. Nimesikia utetezi kupitia Clouds Fm kuwa hii yote imesababishwa na watu wengi kuutizama wimbo huo kwa wakati mmoja hivyo tools za Youtube kuzidiwa na kusizi hivyo views kutoongezeka.

Hivi kweli kwa akili ya kawaida huu utetezi una mashiko? Kuna video ikiwekwa youtube ndani ya masaa 5 inagonga views 20+ lakini hakuna malalamiko ya kidwanzi kama haya.

Mimi si mtaalamu wa haya, je wajuvi wa mambo huu utetezi una ukweli?
Naona wameamua wahamie kwenye kufanya comedy ....
 
hahaha majibu ya hovyo, kwenye redio ya hovyo, watangazaji wa hovyo, wamiliki wa hovyo, na wasikilizaji wa hovyo. Nonsense 🙁🙁🙁
 
ndo ukweli ili youtube waweze ku count real views, lazima wachambue viewer mmoja mmoja, sasa kama trafick ni kubwa ndo hali hiyo inatokea .Wanaojua watakubaliana nami.Ila mwisho wa siku watarudisha views wote halali na kuondoa maroboti, spams .
clouds kitengo cha IT na rockstar sauzi' walileta mchezo wa ghost views youtube wakawastukia na robot lao ikabid wazitrack na kuisimamisha ili kuhakiki haya yote ni kutokan na ngoma kuwa mbovu kuliko...alisikika jamaa mmoja anayesemakan ni timu mond.
 
Zishagonga 1million sasa
bado mkuu.. subiri kidogo zitaanza tena kushuka mpaka 700k...wanachuja.. nyingi ni fake mkuu...😛😛😛
ally.JPG
 
Sijawahi kuona hata siku moja Scania kuzidiwa na kibajaj,yaani wale Youtube wana SERVERS (Zina ram na Processor za ajabu) za ku-accomodate views za akina LUIS FONSI,WIZ KHALIFA,ADELE washindwe kuhandle hizo views za Kiba,wakawadanganye wengine lkn kwa mtu anayejua IT,jamaa akubali kafeli.
 
huu ni utetezi wa kipumbavu kuliko hata wa mtoto wa miaka 5 aliedokoa nyama jikoni na kukataa alhali ana mafuta mdomoni
 
ndo ukweli ili youtube waweze ku count real views, lazima wachambue viewer mmoja mmoja, sasa kama trafick ni kubwa ndo hali hiyo inatokea .Wanaojua watakubaliana nami.Ila mwisho wa siku watarudisha views wote halali na kuondoa maroboti, spams .
Hahahaha Nyimbo ya Am the One ya DJ khaled imehit BILLION 1 VIEWS hawajalalamika uje useme ya laki youtube izidiwe.. Toeni uduwazi hapa
 
Nawe kwanini unafuatilia vitu vidogo hivo
 
Hahah hizo tools zishindwe ku-jam kwny video zenye viewers 5 billion kama DESIPACITO zije zizingue kwa alikiba wa Tabata hahah.
 
Back
Top Bottom