Kichekesho: Uongozi wa Ali Kiba kupitia Clouds wasema ''Mvumo wa radi' kubuma youtube ni kutokana na traffic kubwa

Kwa kweli hiki kizazi cha bongo fleva kinaua muziki asili wa Tanzania na kupoteza asili yetu....huu wimbo ni wa kipuuzi mno na sijuwi lini Kiba atakuja kuwa na nyimbo nzuri maishani mwake. Kiba na Mond nyota zao ziko juu ila kimuziki hawana kitu, wote wako useless.
 
Kiba ana viewers kuliko Celebrities wa nje hadi isababishe jam?.,!
Tafadhali
 
hahahaha imenibidi niingiwe na huruma kabisa hahahahah
Huu utetezi umetolewa na kikundi cha futuhi?
Basi waseme ni kwanini viewers walikuwa wanapungua? hahahahah
hahahaha Alikiba alitaka kuleta ujanja wa kununua views...hahaha
 
Ndipo ninapokuja kuamini hawa WCB sio wa kushuka leo wala kesho kukaa kwao kimya kumesababisha mambo ya watu hayaendi mjini hapa duuu wanahaha wanatamani chibu atie neno abust [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Diamond ana roho mbaya sana yule jamaa, yaani anawashawishi watu wamuangalie video za Ali Kiba . Ndio maana kazaliwa Tandale
 
Utetezi hovyo kabisaa...
Alafu hii style ya kuview sijaielewa kabisa
Yan unakuta mtu kwa siku anaview mara 100.
Wanampotosha msanii wao ajione anakubalika sana kumbe ni kikundi kidogo sana cha watu kinaview.
Tunaua mziki wetu wenyewe.
Ila nyimbo ni ya kawaida ila round hii kakosa promo kwa domo na dada wa ig
 
Nyimbo ya anaconda ya nicki minaji ilipata views mil 19 kwa masaa 24...sikuwahi kusikia views zikihesabiwa..

Nyimbo ya seduce me ya alikiba ilipata views mil 1 within 24 hrs sikusikia mambo ya kuhesabu views iweje hizi ngurumo ndo ziwe hivi???

iyo ya nick minaj iliyokuwa na view milion 19 unaweza kuta ilitakiwa iwe na view milion 40 wakati huo

sometimes matatizo ya kiufundi km hya huwa yanatokea tujitahidi kuwa positive
 
One view one device hata uangalie mara 100 inahwsabika moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…