Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,520
- 1,504
KWANINI ASIHAMIE CLOUDS??Habari ndugu zangu ,
Kwa wale wakazi wa dar na wasikilizaji wa E-FM mtakuwa mnamjua huyu bwana anaitwa kicheko ambaye alikuwa anaendesha kipindi cha singeli nyakati za jioni pale E fm.
Sasa huyu jamaa bna kwa sasa ameshachukuliwa na Clouds FM ,na kusaini mkataba nao.
Sasa kwa sasa muda huu anahojiwa na clouda hawa wakina gea habib hapa na jamaa alivyo mjinga anapiga story zake za zamani jinsi alivyokuwaga mwizi. Hivi kweli haoni kama anajiaibisha na pia anafanya watu tumuone kuwa ni mtu mbaya. Na je hajui kuwa hawa clouds wanamtumia tu??
Ama kweli ujinga ni maradhi makubwa sana. Yaani mtu ametolewa na akina majizo then leo hii anakuja kuwa kama kalogwa
PALE MAWINGU NDO SEHEMU YA WATU WASIO NA ELIMU WANAPOJITAFUTIA JINA NA RIZIKI
chefuuuuu we bwatuka tuPALE MAWINGU NDO SEHEMU YA WATU WASIO NA ELIMU WANAPOJITAFUTIA JINA NA RIZIKI
SORRY WEWE NI MSEMAJI WA MAWINGU??wivu tu unawasumbua pale efm ni njaa tyuuu ipo
clouds ndo habar ya mujini
kiredio chenyew cha efm chasikika hapa dar tu kwingine hamna
halaf mnaringaaa
Unamaanisha mussa Husein auClouds kwa wengine ni edeni ..wanadhani huko ni maishani.... Wengine tulikua tunawaelewa kabla ya kwenda huko lkn saivi kwisha habari yao....
Sijui. Kwani unamfaamuUnamaanisha mussa Husein au
Mbinu chafu vipi wakati ni wao wamemchukuaMbinu chafu hizi za clouds...
Sawa binamu[emoji28][emoji28]ndo usome tu comments utakua mwenyeji
Anamaanisha na FredwaaUnamaanisha mussa Husein au