Kicheko wa Efm achukuliwa Clouds

Kicheko wa Efm achukuliwa Clouds

Sizani kama kuna tatizo kwa kusimulia historia yake ya ukweli.na ni watu wachachesana wenye ujasiri huo wa kusema historia zao za kweli.sasa mkuu ulitaka aongope hakuwa mwizi au kibaka hali ya kuwa alikuwa mwizi na kibaka?
 
Kuiba kandambili za maustaadh msikitini ndio kujisifia alikuwa mwizi!!! Ye aseme Tu alikuwa kibaka wa uswahilini basi.
Sifa za kijinga, kwanza sehemu nyingine ukijulikana ulikuwa mhalifu upewi kazi.
 
Clouds kwa wengine ni edeni ..wanadhani huko ni maishani.... Wengine tulikua tunawaelewa kabla ya kwenda huko lkn saivi kwisha habari yao....
 
PALE MAWINGU NDO SEHEMU YA WATU WASIO NA ELIMU WANAPOJITAFUTIA JINA NA RIZIKI
 
Habari ndugu zangu ,

Kwa wale wakazi wa dar na wasikilizaji wa E-FM mtakuwa mnamjua huyu bwana anaitwa kicheko ambaye alikuwa anaendesha kipindi cha singeli nyakati za jioni pale E fm.

Sasa huyu jamaa bna kwa sasa ameshachukuliwa na Clouds FM ,na kusaini mkataba nao.

Sasa kwa sasa muda huu anahojiwa na clouda hawa wakina gea habib hapa na jamaa alivyo mjinga anapiga story zake za zamani jinsi alivyokuwaga mwizi. Hivi kweli haoni kama anajiaibisha na pia anafanya watu tumuone kuwa ni mtu mbaya. Na je hajui kuwa hawa clouds wanamtumia tu??


Ama kweli ujinga ni maradhi makubwa sana. Yaani mtu ametolewa na akina majizo then leo hii anakuja kuwa kama kalogwa
KWANINI ASIHAMIE CLOUDS??
NIKUULIZE HIVI PALE EFM KUNA NINI CHA ZIADA???
 
wivu tu unawasumbua pale efm ni njaa tyuuu ipo
clouds ndo habar ya mujini
kiredio chenyew cha efm chasikika hapa dar tu kwingine hamna
halaf mnaringaaa
 
wivu tu unawasumbua pale efm ni njaa tyuuu ipo
clouds ndo habar ya mujini
kiredio chenyew cha efm chasikika hapa dar tu kwingine hamna
halaf mnaringaaa
SORRY WEWE NI MSEMAJI WA MAWINGU??
 
D'wikend chatshow katika clouds Kicheko anatoa povu.
 
Back
Top Bottom