Habari ndugu zangu ,
Kwa wale wakazi wa dar na wasikilizaji wa E-FM mtakuwa mnamjua huyu bwana anaitwa kicheko ambaye alikuwa anaendesha kipindi cha singeli nyakati za jioni pale E fm.
Sasa huyu jamaa bna kwa sasa ameshachukuliwa na Clouds FM ,na kusaini mkataba nao.
Sasa kwa sasa muda huu anahojiwa na clouda hawa wakina gea habib hapa na jamaa alivyo mjinga anapiga story zake za zamani jinsi alivyokuwaga mwizi. Hivi kweli haoni kama anajiaibisha na pia anafanya watu tumuone kuwa ni mtu mbaya. Na je hajui kuwa hawa clouds wanamtumia tu??
Ama kweli ujinga ni maradhi makubwa sana. Yaani mtu ametolewa na akina majizo then leo hii anakuja kuwa kama kalogwa