Kichuguu si Mlima CAG: Chuki Dhidi ya Magufuli imewatoa ufahamu sasa?

Kichuguu si Mlima CAG: Chuki Dhidi ya Magufuli imewatoa ufahamu sasa?

Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.

Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.

Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili:

Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.

Tusitengeneze mlima toka kichuguu.
Soma post #182 halafu ifafanue ili wakina Tomaso tuelewe
 
Kwani kazi ya TRA na CAG ni sawa?

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Zinafana kwa kiasi fulan kwani zinahusu mahesabu ya fedha. Swali langu ni je?? Ikiwa taasis ndogo ya tra kwenye section ndogo hakuwa na ufanisi je? Huko kwenye hesabu za serikali ambako yeye ndio top atakuwa fanisi? Je rais anaweza kutuambia kuwa yeye rais ndio hakuwa sahihi alipomdemote toka tra hadi kwenda kuwa Ras njombe?

Je haoni yale maneno yake ya kashfa na kejeli alosema siku anamtumbua ameyajajisi tena? Yaan kajirudishia
 
Uteuzi wa CAG mpya haukufuata sheria, Sheria inataka Kama CAG hatopewa mkataba mwingine wa miaka mitano basi sababu za kutofanya hivyo ziwe ni. kwa. mujibu wa ibara ya 144 inayozungumzia sababu na utaratibu wa kumuondoa CAG, kinyume cha hapo sheria imefafanua kuwa sharti CAG apewe mkataba mpya, Naweka sheria subsection 3 hapa inasema hivi:
View attachment 1253748

Kwa hiyo ni dhahiri ukisoma katiba. na sheria inayofafanua vipengele hivyo vya katiba kwa pamoja Uteuzi wa CAG mpya haukufuata sheria.

Jambo hili hata profesa Shivji kaliona na kalizungumzia hapa chini:

View attachment 1253749
In light of this new information, like Prof. Shivji, I stand corrected.

Magufuli violated the constitution by not adhering to the proper impeachment tribunal process that is constitutionally prescribed.
 
reading together const&law🙁1)CAG’s term of office is fixed@5 yrs.he’s eligible for renewal but appt authority not compelled to do so.(2)If he reaches 65 b4 expiry of 5 yr term, he has to vacate office.(3)appt authority cannot remove him b4 5 yr or age 65 whichever is applicable.
Huyo ni Professor Shivji achana na vifungu vya akina Zitto

Huyo Prof. Shivji ameshaomba radhi kwamba hakusoma ss.3 na amethibitisha kuwa katiba imekiukwa kaangalie tweeter
 
Zinafana kwa kiasi fulan kwani zinahusu mahesabu ya fedha. Swali langu ni je?? Ikiwa taasis ndogo ya tra kwenye section ndogo hakuwa na ufanisi je? Huko kwenye hesabu za serikali ambako yeye ndio top atakuwa fanisi? Je rais anaweza kutuambia kuwa yeye rais ndio hakuwa sahihi alipomdemote toka tra hadi kwenda kuwa Ras njombe?

Je haoni yale maneno yake ya kashfa na kejeli alosema siku anamtumbua ameyajajisi tena? Yaan kajirudishia
Suala la ufanisi ni tata sana, kwa sababu mtu anaweza ku evolve.

Pia, rais anapata taarifa nyeti nyingi sana ambazo hatuzijui.

Zaidi, kwenye uteuzi hatakiwi kutoa sababu wala ku justify maamuzi.

Tena, kazi za serikali ya Tanzania, mtu unaweza kushushwa cheo ili kupimwa kama utatetereka au una akili isiyotetereka, ukionekana hujatetereka unapandishwa cheo.

Serikali haina adabu.

Tatizo ninaloliona hapa ni kwenye kumuondoa Assad.

Inaonekana CAG kuondolewa, hata baada ya mkataba wa miaka mitano kuisha, kuna impeachment tribunal inatakiwa kumuondoa.

So far tunaona hakukuwa na tribunal hiyo, Magufuli kaamua mwenyewe tu.
 
Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.

Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.

Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili:

Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.

Tusitengeneze mlima toka kichuguu.
Mzee Mwanakijiji, je! Hujui kwamba CAG haruhusiwi kuteuliwa katika kazi nyingine yoyote ya Umma baada ya kuacha/kukoma kuwa CAG?
 
Kasome tena sheria, Prof Shivji ametaja hadi kufungu kilichokiukwa sasa wewe unaongeaje hivo bila kwanza kusoma katiba. Watanzania bwana ushabiki kwenye kila kitu sijui ni kwanini.
Tumeshajadili kote huko awali.

Magufuli amevunja katiba kwa kutofuata mchakato wa kumtoa CAG.

Hata baada ya kumaliza mkataba wa miaka mitano, kumuondoa CAG kunataka mchakato wa impeachment tribunal.
 
Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.

Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.

Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili:

Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.

Tusitengeneze mlima toka kichuguu.
Enzi zile ukiwa na akili timamu ungejadili sababu za injustice termination lakini kwa kuwa Akili zako ulimwazima jiwe unajadili mipasho tu
 
Magufuli amejionyesha kuwa ni fisadi papa yaani kwa hili la Assad ataficha wapi uso wake Dotto James a ajiandae kufungwa kwa uhujumu uchumi na utakatishaji pesa madudu ni mengi mengi ha ha jamaa jizi kweli

Kama Magufuli ni fisadi, basi maana ya fisadi inatakiwa itafsiriwe upya kwenye kamusi. Asaad alijiharibia mwenyewe kutamka mambo ambayo hakuyafanyia audit. Angefanya audit na akagundua bunge ni dhaifu na akatoa report ya maandishi kuwa bunge ni dhaifu halafu baadaye popote ulimwenguni akawatangazia watu kuwa bunge ni dhaifu hakuna ambaye angemhoji. Kwa kuwa alishafanya uchunguzi na akaainisha hayo kwenye taarifa ya ukaguzi. Sasa kusema jambo ambalo hujalifanyia ukaguzi wakati wewe ni auditor ni kufanya mambo kisiasa. Najua kuna mwanasiasa mmoja anamdanganya kuwa yeye ni mkubwa kuliko rais wa JMT. Naye Asaad akadanganyika kiasi cha kudiriki kumpelekea ripoti zake hata kabla ya kuziwakilisha kwa spika. Sasa tuone huyu mwanasiasa atamsaidia vipi mtaalamu Asaad. Bahati mbaya hata hawezi kumkaribisha awe kiongozi kwenye chama chake cha kisiasa kwa sababu uongozi wa chama cha kisiasa ni uongozi wa taasisi ya umma ambao Asaad haruhusiwi kisheria!!!
 
Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.

Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.

Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili:

Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.

Tusitengeneze mlima toka kichuguu.
Kwa hiyo Jiwe nae hasimuone Membe kama msaliti, miaka yake 5 ikiisha siyo lazima ccm wampitishe tena, kila mwanachama mwenye sifa anayo haki kuomba kuteuliwa. Au mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu unauma siyo?
 
Kwa hiyo Jiwe nae hasimuone Membe kama msaliti, miaka yake 5 ikiisha siyo lazima ccm wampitishe tena, kila mwanachama mwenye sifa anayo haki kuomba kuteuliwa. Au mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu unauma siyo?
Mbona unataka kubishana na wewe mwenyewe. Membe kama mwana CCM anajua Katiba na taratibu za CCM, aingie kwenye kinyang'anyiro.. sidhani kama lina issue.
 
Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.


Shida iko kwa huo muhimili mahakama. Nionavo mimi our learned president has being wrongly adviced thus reach erroneus conclusion!
 
Mbona unataka kubishana na wewe mwenyewe. Membe kama mwana CCM anajua Katiba na taratibu za CCM, aingie kwenye kinyang'anyiro.. sidhani kama lina issue.
@Mzee Mwanakijiji unachagua maswali ya kujibu yaliyo nje ya mada yako. Mambo ya Membe hayana mantiki kwenye mada.

Tafadhali rejea maswali yetu. Kama huyaoni nikurushie post namba.
 
Wewe MMMKJ umekuwa mtu mnafiki sana katika utawala huu
Sikutegemea mwandishi na mchambuzi nguli kama Mmkj anaweza akaja na hoja dhaifu anazoshindwa kuzitetea kama hii aliyoiwasilisha.

Mmkj hakufanya hata reference ya Katiba tu kujua namna CAG anaweza kuondolewa kabla ya kustaafu.
 
Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.

Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.

Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili:

Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.

Tusitengeneze mlima toka kichuguu.
Umekuwa lawyer mtafisiri sheria siku hizi?Tumeoma pahala opinion za manguli wa sheria kama Prof. Shivji.
Labda utupe ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom