OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #21
Weka takwimu kakaKwanza mtoa post huna takwimu sahihi juu ya kichuya ni wapi kaifunga yanga mechi nne mfululizo?
ukiwa peke yako tena mbele kuliko wachezaji wote hiyo ni offside. unaweza kuwa peke yako ile nyuma ya timu pinzani iyo si off side.Watu hawajui maana ya off-side, Wekiona mchezaji yupo peke yake wanadhani yupo off-side. Kama mabeki hucheza off-side trick hivyo hivyo washambuliaji huvunja off-side trick.
Yote hii ni kujipa matumaini tu
Off-side ni moja kati ya sheria tata sana, Mara nyingi inaendana na jinsi mwamuzi alivyo-sharp na anavyojisikia.
Siku hizi mnazidi kumchukia kichuya eeh!Siku mkifungwa goli kama hilo tusiwasikie mkilialia! Mwosha huoshwa pia!
Bro humu ni jamii forum kuna aina nyingi sana za watu wenye kariba mbalimbali, hapa Bongo hakuna daraja sijagusa, muulize Edwine Hagai au Said Maulid. Jiulize wakati mpira unatoka mguuni kwa Mkude Kichuya alikuwa position gani? Kwa umbali aliokuwa Mkude na Kichuya ulitegemea Kichuya aanze kukimbia baada ya kumfikia wakati kuna seconds zinatumika mpira ukiwa angani? Haya matukio huenda simultaneously pale mchezaji anapo release mpira na position aliyopo anayepokea mpira. Aliyecheza mpira huweka emotion pembeni na kuruhusu weledi ufanye kazi yake.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kuna watu hata mpira hamjawahi kucheza wala hamfatilii ila mnatoa maoni kishabiki.
kichuya ni mchezaji upo ndani unaonaje kama umeua off side, bila ushabiki ule mpira ni off side maana tangu anaupokea alikuwa ameotea wala hakuonesha kurudi nyuma kwanza kuua offside bali kaupokea(akiwa mbele zaidi ya wote) na kwenda ku score
hakuna sehemu kaua iyo offside
Vyura wabishi,unamsikia Ngasa ambaye ni chura pure anamlalaikia refa amembania,alitaka refa akamfungie?Ndala FC wanapata shida kwa mambo ambayo ni rahisi kung'amua
mkuu suala la off-side mpaka leo linasumbua hata ulaya sio sisi tu, ko suala la kugusa madaraja yote halifanyi kuwa sahihi kuitafsiri ile off-side.Bro humu ni jamii forum kuna aina nyingi sana za watu wenye kariba mbalimbali, hapa Bongo hakuna daraja sijagusa, muulize Edwine Hagai au Said Maulid. Jiulize wakati mpira unatoka mguuni kwa Mkude Kichuya alikuwa position gani? Kwa umbali aliokuwa Mkude na Kichuya ulitegemea Kichuya aanze kukimbia baada ya kumfikia wakati kuna seconds zinatumika mpira ukiwa angani? Haya matukio huenda simultaneously pale mchezaji anapo release mpira na position aliyopo anayepokea mpira. Aliyecheza mpira huweka emotion pembeni na kuruhusu weledi ufanye kazi yake.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]